kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,903
Mkuu hoja yangu ni, wapunguze bei ili waongeze wigo wa wateja. Watanzania wenye uwezo wa kumudu hizo bei ni wachache na wengi hata sio wapenzi waa mpira ki hivyo. By the way Mimi ni miongoni mwa hao wachache wanaoangalia nyumbani. Isidhani nalalamika.Baada ya kutukana wenzako- sasa tuambie hiyo bei inawezaje kupunguzwa