Usije ukaomba Jimama kama hilo litokwe na ushuzi mkiwa chumbani anakihanikiza chumba chote kwa harufu .
Mi nimeipenda figure yake tu
Mie nilidhani sifa ya umodo ni kuwa potabo/mwembamba.sasa huyu fidel inakuwaje tena huu mwili?
Ah, wakati huo bwana!Asije kuwa anakukumbusha enzi za STELLA RWEZAURA aka TINGISHA.
Mmmh!!! NO COMMENT.
Kazi kweli kweliMIMI nimekufa na UPAJA HUO!....
Acha nuksi zako, beauty comes in different shape and sizes.