Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Kinyume na taarifa zilizozagaa kuwa ni marehemu, Super Coach Syllversaid Mziray yu hai ingawaje sasa amehamishiwa chumba cha mahututi.......................
Kinyume na taarifa zilizozagaa kuwa ni marehemu, Super Coach Syllversaid Mziray yu hai ingawaje sasa amehamishiwa chumba cha mahututi.......................
Duuuuuuuuu kumbe hajafa - yaani mimi nilishaomba ruhusa kuwa tumefiwa na kwa hiyo sitakuja kazini, inabidi sasa niende kazini kujisalimisha
Duuuuuuuuu kumbe hajafa - yaani mimi nilishaomba ruhusa kuwa tumefiwa na kwa hiyo sitakuja kazini, inabidi sasa niende kazini kujisalimisha
wewe sasa unatafuta ban!!! Hiyo ni pekenyuarism and character assassination...Join DateFri Sep 2010Posts875Thanks631Thanked 406 Times in 170 PostsRep Power22DUH kaka umgejiunga jf tarehe niliyojiunga mimi si ungekuwa ma post laki 9? hongera sana.:biggrin1:
Join DateFri Sep 2010Posts875Thanks631Thanked 406 Times in 170 PostsRep Power22DUH kaka umgejiunga jf tarehe niliyojiunga mimi si ungekuwa ma post laki 9? hongera sana.:biggrin1:
Join DateFri Sep 2010Posts875Thanks631Thanked 406 Times in 170 PostsRep Power22DUH kaka umgejiunga jf tarehe niliyojiunga mimi si ungekuwa ma post laki 9? hongera sana.:biggrin1:
Jina lenyewe "Rutashubanyuma" says it all. Jamaa harudi nyuma. Aiseeee, nadhani itabidi aingie kwenye rekodi za JF. Kwa siku anapost thread kama 18 hivi!!!!!!! Jamaa itakuwa amejiajiri maana kama ni mwajiriwa lazima agombane na mwajiri. Big up mzee usirudi nyuma
hapo ndiyo wengi wamekata tamaa!