combination ya Michael Baruti na Zembwela kwenye kipindi cha SUPAMIX kinachoruka hewani kila siku ya jumatatu mpaka ijumaa, kupitia East africa Radio ni nzuri saaaaana....
wawili hawa wanaupeo mkubwa sana wa kuchambua mambo ya kijamii na kuyawasilisha kwa wahusika wakiwa na lengo la kusaidia sana wananchi wa tabaka la chini......
i like what you guys do, keep up the goodwork guys.....
wawili hawa wanaupeo mkubwa sana wa kuchambua mambo ya kijamii na kuyawasilisha kwa wahusika wakiwa na lengo la kusaidia sana wananchi wa tabaka la chini......
i like what you guys do, keep up the goodwork guys.....