Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Leo majira ya mchana maeneo ya Mburahati Beach Boy wilaya ya Ubungo sungu sungu wamuua kikatili kijana mmoja mkazi wa kitongoji cha Soweto kata ya Mabibo.
Kijana huyo anajulikana kwa jina la Jumanne Jongo,kwa nyakati tofauti amekuwa akijihusisha na vitendo vya kihalifu.
Kijana huyu alijeruhiwa vibaya na sungusungu kwa kukatwa na mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake huku mikono na miguu ikiwa imekatwa kabisa.
Hali hii ilipelekea kuvuja damu nyingi ,polisi walifika eneo la tukio na kumkimbiza hospitali
majeruhi kwa bahati mbaya alifia njiani akipelekwa hospitali ya Muhimbili.
cc.Kamanda wa Polisi kanda maalumu Kinondoni.
Kijana huyo anajulikana kwa jina la Jumanne Jongo,kwa nyakati tofauti amekuwa akijihusisha na vitendo vya kihalifu.
Kijana huyu alijeruhiwa vibaya na sungusungu kwa kukatwa na mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake huku mikono na miguu ikiwa imekatwa kabisa.
Hali hii ilipelekea kuvuja damu nyingi ,polisi walifika eneo la tukio na kumkimbiza hospitali
majeruhi kwa bahati mbaya alifia njiani akipelekwa hospitali ya Muhimbili.
cc.Kamanda wa Polisi kanda maalumu Kinondoni.