Niliona humu ikiwekwa na Salary Slip ila wanoko wakaifuta !Naam, wale waliosema chama cha Kichaga, sijui chama kilichokufa! Walete akili zao huku waone! We are moving mountains.
😆😆😆Safi Sana. People's .........
CCM itikieni:
Mods sometimes hawaelewiki na ninakumbuka niliweka Jukwaa la siasa.Niliona humu ikiwekwa na Salary Slip ila wanoko wakaifuta !
Takwimu mpya inaelekeza kwamba 95% ya Watanzania wanaipenda ChademaJamaa wa chuga huyu anaipenda Chadema mwanzo mwisho
HahahahaahahaaaaTakwimu mpya inaelekeza kwamba 95% ya Watanzania wanaipenda Chadema
MPE kijambio ataprove sex yake. Au nakoseahuyo ni mwanamke? au mwanaume? hata photoshop mnaringa nazo?
Shenz mwenyewe,mmezoea kubambika watu kesi.Watu wanajitambua wananjia mbalimbali za kujikwamua.Shenzi sana...akifika tu uwanja wa ndege akamatwe apewe kesi ya uhujumu...