Sunday Manara: England inahitaji mtu kama Mwamnyeto kuchukua kombe la dunia

Moja ya sababu kubwa ya Tanzania kutolewa mapema ni uzembe wa beki ya kati, walishindwa kuanzisha mashambulizi badala yake wakawa wanabutua mipira ovyo pia walishindwa kutuliza timu pale inaposhambuliwa kwa kifupi pengo la Nyoni lilionekana wazi.
 
Back
Top Bottom