rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,156
Moja ya sababu kubwa ya Tanzania kutolewa mapema ni uzembe wa beki ya kati, walishindwa kuanzisha mashambulizi badala yake wakawa wanabutua mipira ovyo pia walishindwa kutuliza timu pale inaposhambuliwa kwa kifupi pengo la Nyoni lilionekana wazi.