Ajabu !! Sijui ni akili za kuazima ?!You made me speechless.........hata shoga litakataa kuwa shoga hadharani mchana lakini usiku linarembua macho....hivi mafanikio ya mtumishi wa umma ni mabanda ya maonyesho?
hebu tu-define utendaji kwanza kabla ya kuanza kusifiaPhilemon unamtetea mama, naungana na wewe kuwa Ndina ana makosa lakini utendaji wake mzuri unaoverweigh makosa yake. Nadhani apewe nafasi nyingine sehemu nyingine tuone vitu vyake.
Naamini wizara ya afya imeoza long ago, it was just a waiting bomb na likalipukia mikononi mwa Blandina.
Pasco una matatizo makubwa sana ya akili... na inawezekana kabisa ni ile tamaa ya kufikisha personal goals/grace inayokuendesha hadi kujiweka uchi hiviHakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.