mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,089
- 6,273
Jamani mi naulizia Njia nzuri ya kuua mnazi,
Kuna Jirani yangu alipanda mnazi wake mpakani kabisa sasa umekuwa mkubwa unaleta kero Sana nimempa pesa aukate kachukua pesa halafu kakataa kuukata.
Sasa nataka Njia ya kuua kwa kuukausha kimyakimya.
Namomba anayejua namna ya kuua mti huo mnazi
Kuna Jirani yangu alipanda mnazi wake mpakani kabisa sasa umekuwa mkubwa unaleta kero Sana nimempa pesa aukate kachukua pesa halafu kakataa kuukata.
Sasa nataka Njia ya kuua kwa kuukausha kimyakimya.
Namomba anayejua namna ya kuua mti huo mnazi