Sumu gani inaua mbwa au paka haraka?

Grau

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
4,201
3,815
Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani

Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
 
Mi nijuavyo sumu ya paka inaua mpaka mbwa, labda uliweka kidogo au hajala kabisa, Rudia jaribio, kamnunulie mtesi wako hata nusu ya nyama mkaangie kiasi, nyingine kaweke hapo yanapokaa mayai.

Asipokula, asipokufa. Mwangalie mara mbili mbili
 
Mi nijuavyo sumu ya paka inaua mpaka mbwa, labda uliweka kidogo au hajala kabisa, Rudia jaribio kamnunulie mtesi wako hata nusu ya nyama, au hayo hayo mayai yapake sumuu.
Mkuu niliweka kwenye nyama tena ile sumu ya vidonge
 
Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani

Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Mkuu huyo mbwa ni wako?

Utakua unaua wangap kwa sababu tu wameingia bandani?

Jaribu kuonana na mtaalamu wa mifugo anaweza kukushauri njia bora zaidi ya hiyo unayotaka kuifanya.
 
Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani

Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Mchukue mbwa wako au paka wako, nenda nae bar, mnunulie nyama choma za kutosha, kisha rudi naye home. Utapata thawabu zaidi kuliko kumuua.

Boresha Banda lako ili vifaranga na mayai yasiliwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom