MKUNGA
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 441
- 71
- Thread starter
- #21
Sumry wana mabasi mazuri sana kwa nje lakini yasiyo na uhakika sana wa kufika safari,watu wa kusini nashauri tu kuangalia means nyingine za usafiri na sio kutegema hayo mabais kwa mfano songea wanabasi moja linalokwenda Dar liliharibika siku moja maeneo ya lutikira tulianza safari karibia saa 8 mchana.Haaminiki na kupata option nyingine ni suala zito
ni kweli mkuu,hata bus lao la Songea-Dar limeharibika leo,haya mabasi ni mazuri kwa nje tu lakini ni mabovu sana.