MKUNGA
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 441
- 71
Wakuu,tumepanda bus la Sumry kuja Dar, limeharibika hapa nje ya Makambako toka saa 3 asubuhi, hawataki kuturudishia nauli,wametuahidi kutuletea bus jingine tokaMbeya wanatudanganya lipo karibu na halifiki.
Hivi hii kampuni inapata wapi kiburi cha kunyanyasa watanzania?
My take: Haya mabasi hayafai coz hata abiria wanasema ni mabovu,so ukiwa na safari ya Mbeya tafuta mabasi mengine.
Hatimae tumeondoka saa 10:10 pm,mtuombee tufike salama,huku kusini usafiri shida ati na naambiwa haya mabasi ya Sumry ndio tegemeo huku.
Update.
Hii sasa too much,tumelikuta Sumry la MZA-DAR limeharibika maeneo ya Ruvu darajani,imebidi abiria wote wajazwe huku kwetu kama magunia vile,kwa kweli inasikitisha jinsi abiria wanavyonyanyasika.
Final update.
Nashukuru Mwenyezimungu ametuwezesha tumefika salama Dar.
Hivi hii kampuni inapata wapi kiburi cha kunyanyasa watanzania?
My take: Haya mabasi hayafai coz hata abiria wanasema ni mabovu,so ukiwa na safari ya Mbeya tafuta mabasi mengine.
Hatimae tumeondoka saa 10:10 pm,mtuombee tufike salama,huku kusini usafiri shida ati na naambiwa haya mabasi ya Sumry ndio tegemeo huku.
Update.
Hii sasa too much,tumelikuta Sumry la MZA-DAR limeharibika maeneo ya Ruvu darajani,imebidi abiria wote wajazwe huku kwetu kama magunia vile,kwa kweli inasikitisha jinsi abiria wanavyonyanyasika.
Final update.
Nashukuru Mwenyezimungu ametuwezesha tumefika salama Dar.