Nchi ,hii matokeo wanatangaza saa 7 usiku wakati kwenye vituo Peoples pawa wanaongoza!!! Aibu hiyo .ila ipo siku watanzania watataka haki zao wasichakachuliwe kura zao!
Ndio hivyo .....sehemu ambazo watu sio imara ,lazima upigwe bao !!CCM imejifanya kama ni Chama kilichojihanikiza na serikali na mbinu zake !ina kila kitu jeshi ,inteligensia,polisi wote wanaipa support ma kuisadia ! Huo ni ujinga wanaaibisha taaluma zao! Shiiit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.