Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,474 39,987 Nov 1, 2010 #1 Kutoka Rukwa, vijana wamekataa kwenda kulala wanasubiri matokeo ya uchaguzi. Wenyewe wanasema "hakuna kulala, mpaka kieleweke"..
Kutoka Rukwa, vijana wamekataa kwenda kulala wanasubiri matokeo ya uchaguzi. Wenyewe wanasema "hakuna kulala, mpaka kieleweke"..
Gwamahala JF-Expert Member Jul 29, 2009 3,925 2,321 Nov 1, 2010 #2 Mkuu MJJ, Hata mimi hapa hakuna kulala...tupo pamoja mkuu! Mungu amesikia kilio chetu na ametutembelea kwa mwale wa moto!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu MJJ, Hata mimi hapa hakuna kulala...tupo pamoja mkuu! Mungu amesikia kilio chetu na ametutembelea kwa mwale wa moto!!!!!!!!!!!!!!!
mchakachuaji192 JF-Expert Member Oct 19, 2010 366 68 Nov 1, 2010 #3 inatia moyo kwa kweli hali hii jamani, am proud to be forces for change (dot.com generation)
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,470 911,172 Nov 1, 2010 #6 Kujikomboa kwahitaji kujitoa mhanga kiujumla
Chacha wa Mwita Senior Member May 17, 2008 167 34 Nov 1, 2010 #7 Vipi Musoma Mjini? hakuna mwenye taarifa za huko?
Nyunyu JF-Expert Member Mar 9, 2009 4,354 1,010 Nov 1, 2010 #8 Kwa mwamko huu, tume itabidi itekeleze majukumu yake kwa haki, la sivyo yananukia ya kenya!!!:A S angry:
Kwa mwamko huu, tume itabidi itekeleze majukumu yake kwa haki, la sivyo yananukia ya kenya!!!:A S angry: