Tukubali baadhi ya Watanzania hasa wanaoshika madaraka na wafanyabishara ,lazima wafike miji hii ,kwa maana watafanikiwa!!!!
Namfahamu mfanyabiashara mmoja asili ya K'njaro,ambaye anaisha wilaya ya mkoa wa katikati ya Tanzania,alikwenda sumbawanga,baada ya hiyo
mambo yake yalikwenda vizuri.Maofisi watu wamespecialise bagamoyo.
Kwa hiyo Sheikh Yahaya akitabili ,tusiwe hypocritical.Kama wewe umekwenda huko sio mbaya ukatuma experience yako na utalaamu walionao
Namfahamu mfanyabiashara mmoja asili ya K'njaro,ambaye anaisha wilaya ya mkoa wa katikati ya Tanzania,alikwenda sumbawanga,baada ya hiyo
mambo yake yalikwenda vizuri.Maofisi watu wamespecialise bagamoyo.
Kwa hiyo Sheikh Yahaya akitabili ,tusiwe hypocritical.Kama wewe umekwenda huko sio mbaya ukatuma experience yako na utalaamu walionao