Sumaye: Tatizo si Katiba, bali kasi ya Mabadiliko....

Haki sawa

JF-Expert Member
Oct 3, 2007
4,780
3,208
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
 
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....

kama vile kanaingia akilini kidogo
 
Hata kama umechelewa kutuwekea hiyo article, Mr. Zero hajakosea. Ni baadhi ya nafasi zinazotumia kodi zetu tu kwa ajili ya kupendeza tu vikundi vya watu katika nchi
 
Huyu nae! Katiba inayoruhusu Rais kuwachagulia uongozi wanachama wa Taasisi mbalimbali kama NSSF, PSPF n.k. kuwa siyo tatizo!
 
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....

Chini wapi? wewe andika habari iliyokamilika
 
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
This time you trying to say things you should do before when you was PM. You were part of government and you did nothing at all. Tema mate chini mwambie mungu akusamehe. Watanzania mnachanganywa na watu ambao tayari mlishaona utendajikazi wa vipindi vyao. Mimi naona sumaye ni bora akatulia na kuacha propaganda za kuwalagai wanyonge! !
 
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
Sijawahi muunga mkono sumaye ila simuungi mkono kwa yote aliyosema ninachomuunga mkono ni kuwa tatizo sio katiba nchi nyingi tu duniani hazina katiba kabisa ikiwemo uingereza haijawahi kuwa na katiba ya nchi lakini imeendelea bila katiba kwa hili namwuuunga mkono sumaye tatizo si katiba. Bravo sumaye kwa hili you are a Great thinker
 
Back
Top Bottom