Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....