Sumaye arudisha fomu ya kuwania Uenyekiti kanda ya Pwani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898


FB_IMG_1468505441767.jpg


Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu Frederick Sumaye amerudisha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani, Sumaye ana wapinzani wawili ambao ni John Gugunita ambaye alihamia CHADEMA kutoka CCM mwaka jana na Gango Kidera.

Nafasi zingine za uongozi ambazo zipo wazi ni ile ya makamu mwenyekiti ambapo watu watatu wamejitokeza kugombea nafasi hiyo akiwemo Saed Kubenea, nafasi ya mwekahazina wagombea watatu wamejitokeza akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa kazi na ajira wa serikali ya awamu ya nne, Makongoro Mahanga.
 
View attachment 366263

Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu Frederick Sumaye amerudisha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani, Sumaye ana wapinzani wawili ambao ni John Gugunita ambaye alihamia CHADEMA kutoka CCM mwaka jana na Gango Kidera.

Nafasi zingine za uongozi ambazo zipo wazi ni ile ya makamu mwenyekiti ambapo watu watatu wamejitokeza kugombea nafasi hiyo akiwemo Saed Kubenea, nafasi ya mwekahazina wagombea watatu wamejitokeza akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa kazi na ajira wa serikali ya awamu ya nne, Makongoro Mahanga.
Sumaye anashindana na mwana ccm mwenzie..
Sorry mwana ccm mwenzie wa zamani
 
View attachment 366263

Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu Frederick Sumaye amerudisha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani, Sumaye ana wapinzani wawili ambao ni John Gugunita ambaye alihamia CHADEMA kutoka CCM mwaka jana na Gango Kidera.

Nafasi zingine za uongozi ambazo zipo wazi ni ile ya makamu mwenyekiti ambapo watu watatu wamejitokeza kugombea nafasi hiyo akiwemo Saed Kubenea, nafasi ya mwekahazina wagombea watatu wamejitokeza akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa kazi na ajira wa serikali ya awamu ya nne, Makongoro Mahanga.

Kumbe CCM Ni hazina kubwa!!!
 
Back
Top Bottom