Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhan hpo kwenye list yko angebaki Comredy Lissu tu.Weka akiba ya maneno..amerudi Low-ass kwao mbna hajanyanyua kinywa kusema ..hv kukaa ndani kwa kina Mbowe aliongea lolote?mie nw ninayemwamini ni LISU na Heche tu
Bora ubaki kumuamini mmeo au boyfriend wako kama hujabarikiwa mme bado! Si Lissu si nani, akiwa mwanasiasa si wa kuamini!Weka akiba ya maneno..amerudi Low-ass kwao mbna hajanyanyua kinywa kusema ..hv kukaa ndani kwa kina Mbowe aliongea lolote?mie nw ninayemwamini ni LISU na Heche tu
Bora ubaki kumuamini mmeo au boyfriend wako kama hujabarikiwa mme bado! Si Lissu si nani, akiwa mwanasiasa si wa kuamini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka akiba ya maneno..amerudi Low-ass kwao mbna hajanyanyua kinywa kusema ..hv kukaa ndani kwa kina Mbowe aliongea lolote?mie nw ninayemwamini ni LISU na Heche tu
Upo SahihiBora ubaki kumuamini mmeo au boyfriend wako kama hujabarikiwa mme bado! Si Lissu si nani, akiwa mwanasiasa si wa kuamini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndicho ninachoweza kusema kumhusu huyu kiongozi ambaye amehama
kutoka CCM tofauti na wengi wanavyomchukulia. Hata Kimuonekano huwezi
kumlinganisha na Waitara, Lowasa na wengi wengineo waliohama.
Bado nina imani na Sumaye SI MSALITI.
Mtu yeyote mwenye vinasaba vya CCM sio wa kumuamini kabisaaaHicho ndicho ninachoweza kusema kumhusu huyu kiongozi ambaye amehama
kutoka CCM tofauti na wengi wanavyomchukulia. Hata Kimuonekano huwezi
kumlinganisha na Waitara, Lowasa na wengi wengineo waliohama.
Bado nina imani na Sumaye SI MSALITI.
Weka akiba ya maneno..amerudi Low-ass kwao mbna hajanyanyua kinywa kusema ..hv kukaa ndani kwa kina Mbowe aliongea lolote?mie nw ninayemwamini ni LISU na Heche tu