Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Usimsemee mkuu, ngoja saa tano si ndiyo hii.Hana ishu yoyote ya maana atakayoongea!
Usimsemee mkuu, ngoja saa tano si ndiyo hii.Hana ishu yoyote ya maana atakayoongea!
Na bado mnamsikiliza? kweli tz waandishi wa habari hakuna ni majungu tu y don't you walk out?
Nawaomba watanzania, yeyote atakayejaribu kutumia njia za udanganyifu kwa RUSHWA, KUTENGANISHA WATU, tumkatae kwa nguvu zote
Ok, nimekupata mkuu!!Anasema LENGO ni kuwajibu UVCCM, anatumia njia wanayotaka.
Anasema yeye hayupo CCM kwa maslahi yake binafsi, amekereka sana na kauli za UVCCM na inamshangaza kuona wanafumbiwa macho na ana wasiwasi na hatma ya CCM
Nategemea nimeeleweka, sitarajii kuibua malumbano na sitarajii kurejea kuongea na waandishi juu ya hili. Mimi ni mwana CCM na sipo chama chochote cha siasa zaidi ya hiki.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
Amemaliza?Nategemea nimeeleweka, sitarajii kuibua malumbano na sitarajii kurejea kuongea na waandishi juu ya hili. Mimi ni mwana CCM na sipo chama chochote cha siasa zaidi ya hiki.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
Nawaomba watanzania, yeyote atakayejaribu kutumia njia za udanganyifu kwa RUSHWA, KUTENGANISHA WATU, tumkatae kwa nguvu zote
Dah kumbe shule nzuri bwana, tangu amalize MBA yake siku hizi Sumaye anaongea point, nimeshitushwa kidogo maana nilizoea kumsikia akitoa point zilizokuwa tata sana enzi za uwaziri mkuu wake.Serikali yoyote iliyochaguliwa kidemokrasia LAZIMA itasemwa na kukebehiwa. Kiongozi yeyote na chama chochote kilichochaguliwa kidemokrasia, kitasemwa na watu watakikebehi. Si ajabu
Dola nayo kumbe imo, ina maana hata wananchi wakikupa kura za ndiyo lakini kama Dola haikupendi imekula kwako?Makundi matatu yanayoamua nani awe kiongozi ni WANANCHI, CHAMA anachotoka mwanasiasa na DOLA
Kama Lowassa na Sumaye wanautaka urais 2015, kwanini washirikiane? 2015 kutakuwa na marais wawili?
Sasa hivi mtu yeyote akiongea ndani ya CCM ataambiwa anautaka urais, hii inaweza kuwaziba wengi midomo
Kumbe kamaliza mapema hivi hotuba, nilidhani anakimwaga chama!Movie ilikuwa fupi hivyo................... Duh aturudishie pesa zetu!!!