Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
Mkuu hapa nafikiri kuna walakini kidogo au amekosea kutamka.Nimejiunga na TANU tangu mwaka 66, mimi ni mwana CCM tangu 2007
Mkuu hapa nafikiri kuna walakini kidogo au amekosea kutamka.Nimejiunga na TANU tangu mwaka 66, mimi ni mwana CCM tangu 2007
Wananchi ndio wenye uwezo wa kila jambo katika nchi, wananchi ndio wanaopiga kura na ndio wanaoamua nani awe kiongozi na nani asiwe.
Kama Lowassa na Sumaye wanautaka urais 2015, kwanini washirikiane? 2015 kutakuwa na marais wawili?
Ina maana UVCCM wana mgombea wao ndo maana wengine tunaonekana kero kwao kwani tunamvurugia mtu wao. Vijana wenye tamaa ya KULA ni hatari kwa taifa
Ina maana UVCCM wana mgombea wao ndo maana wengine tunaonekana kero kwao kwani tunamvurugia mtu wao. Vijana wenye tamaa ya KULA ni hatari kwa taifa
Eti vijana wanataka wamweke mtu wao ili wale? Imenishtua sana!
Wanadai tunakibomoa chama, wanadai kuwa tunataka rais atoke kaskazini. Kwa madai yao nchi itaendelea kusonga mbele na wanatupa pole tunaodhani rais lazima atoke kaskazini.
Huu ni ubaguzi, haya ni maneno ya hatari yanayoweza kukigawa vibaya sana chama chetu na Tanzania kwa ujumla.
Kwa hiyo unataka wamsusie?Na bado mnamsikiliza? kweli tz waandishi wa habari hakuna ni majungu tu y don't you walk out?