Sumaye akiwa Ameongozana na Naibu Meya Mhe.Viola Lazaro wamemtembelea Mbunge Godbless Lema

PRODA LTD

JF-Expert Member
Oct 20, 2016
1,005
1,333
IMG-20161231-WA0045.jpg Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa Mhe.Fredrick Sumaye akiwa Ameongozana na Naibu Meya Mhe.Viola Lazaro wamemtembelea Mbunge wa Jimbo la Arusha Mhe.Godbless Lema ambaye yupo Gereza kuu Arusha (kisongo),Ikiwa ni awamu ya pili baada ya Mhe.Edward Lowassa kutangulia.

NENO la faraja alilomuachia Mhe.Lema amemwambia "JUST BE STRONG"
 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa Mhe.Fredrick Sumaye akiwa Ameongozana na Naibu Meya Mhe.Viola Lazaro wamemtembelea Mbunge wa Jimbo la Arusha Mhe.Godbless Lema ambaye yupo Gereza kuu Arusha (kisongo),Ikiwa ni awamu ya pili baada ya Mhe.Edward Lowassa kutangulia.

NENO la faraja alilomuachia Mhe.Lema amemwambia "JUST BE STRONG"
Huku akikumbuka alivyokuwa akiwaadhibu enzi hizo
 
karist lazaro meya, viola lazaro naibu meya. kweli kizuri kula na nduguyo hahaha CHADEMA THE GREAT
 
Back
Top Bottom