PRODA LTD
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,005
- 1,333
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa Mhe.Fredrick Sumaye akiwa Ameongozana na Naibu Meya Mhe.Viola Lazaro wamemtembelea Mbunge wa Jimbo la Arusha Mhe.Godbless Lema ambaye yupo Gereza kuu Arusha (kisongo),Ikiwa ni awamu ya pili baada ya Mhe.Edward Lowassa kutangulia.
NENO la faraja alilomuachia Mhe.Lema amemwambia "JUST BE STRONG"
NENO la faraja alilomuachia Mhe.Lema amemwambia "JUST BE STRONG"