Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo busara mbona hakuzionyesha wakati akiwa waziri mkuu.Tungekua na viongozi kama sumaye tanzania nadhani tungefika mbali sana anabusala nadhani mno pasipo kua na umri mkubw sana wa uzee anasifa ya kua kiongozi bongo ya kiwango cha juu mno
kamanda una umri gani? Naona uko upande wa kusifia tu chochote akachofanya Sumaye bila kujua/kukumbuka kuwa Sumaye alipata kuwa waziri mkuu wa serikali awamu wa tatu na hakuna chochote cha maana alichofanya kama kiongozi......sanasana alikuja kuitwa mr zero!!Tungekua na viongozi kama sumaye tanzania nadhani tungefika mbali sana anabusala nadhani mno pasipo kua na umri mkubw sana wa uzee anasifa ya kua kiongozi bongo ya kiwango cha juu mno
Alikuwa hajaenda Havard kupanua kichwa na busaraHizo busara mbona hakuzionyesha wakati akiwa waziri mkuu.
Hana lolote
Mkuu umeanza kufatilia siasa juzi eee...???
Wewe una nini kichwani kuita wengine zero. Mwenzako kasoma Harvard ebu tutajie chuo chako tukuelewe kwamba wewe siyo zeroMr zero ataeleweka kwa nyumbu
kamanda una umri gani? Naona uko upande wa kusifia tu chochote akachofanya Sumaye bila kujua/kukumbuka kuwa Sumaye alipata kuwa waziri mkuu wa serikali awamu wa tatu na hakuna chochote cha maana alichofanya kama kiongozi......sanasana alikuja kuitwa mr zero!!
Umesahau kuwa huyu jamaa alikuwa waziri mkuu miaka 10?? Na amekuwa waziri miaka mingi tu.Tungekua na viongozi kama sumaye tanzania nadhani tungefika mbali sana anabusala nadhani mno pasipo kua na umri mkubw sana wa uzee anasifa ya kua kiongozi bongo ya kiwango cha juu mno
Hahaha kwani waziri mkuu alipaswa/anapaswa kufanya nini?! Yule ni kiranja mkuu wa wabunge na mawaziri hana specified job au job description ya cheo cha waziri mkuu ndio maana hata aliyepo yuko allover hakuna kazi ni kama monitor darasani wanafunzi wasipopiga kelele hata hujui kazi yake.,kamanda una umri gani? Naona uko upande wa kusifia tu chochote akachofanya Sumaye bila kujua/kukumbuka kuwa Sumaye alipata kuwa waziri mkuu wa serikali awamu wa tatu na hakuna chochote cha maana alichofanya kama kiongozi......sanasana alikuja kuitwa mr zero!!
Sumaye kamponda Lowasa anavizia ugombea uraisi 2020 kupitia Chadema. Yeye alivyokuwa waziri mkuu akisifiwa mbona alikuwa hasemi msinisifie ni wajibu wangu? Ukimsikiliza anamponda Lowasa.Ushauri wa bure ni kuwa MTU mzima ukitukana mke wa MTU kuwa ni Malaya hakumfanyi mkeo malaya kuwa sio Malaya.Nimekuelewa sana sumaye