Mambo kama haya ndo huwa yanauwa chama. Kila mtu anajitahidi kutumia chama kwa maslahi binafsi.CHADEMA kama taasisi naona sasa kinatetereshwa..
Haya matamko ya sumaye kuhusu mashamba yake alitakiwa akayafanyie huko na isiwe chini ya kivuli cha CHADEMA au ofisi ya CHADEMA..