Sumaye Achinja mbuzi na kufanya sherehe baada ya Lowassa kujiuzulu

Status
Not open for further replies.

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Habari zilizonifikia Punde kutoka maeneo ya kibamba anakoishi Waziri Mkuu Mstaafu ndg Fredrick Sumaye.Jana alifanya Sherehe nyumbani kwake na wapambe wake wakisherehekea kuangushwa kwa bwana Lowassa.Akijisifia kwa mbwemwe nyingiu baada ya kupata mvinyo alisema.."walikuwa wananiita Zero ila mmeona wenyewe mie niliweza kuhimili mikiki mizito na kukaa miaka kumi,anaglieni huyu ambaye hata robo ya muda wangu hajanifikia."

kulikuwa nma viongozi wanaandamizi wa serikali ambao ni watumishi wa umma na wabunge na makada waq chama tawala ambao walikuwa kambi ya Sumaye wakati wa Mchakato wa kupata Rais kwa tiketi ya CCM.

watu walikula na kuchoma mbuzi kusherehereka kuanguka kwa mtu aliyewamaliza.Wat goes around comes around.
 
Duniani kweli kuna Mambo, lakini hata JF members nao walifanya sherehe. si mchezo kuangusha Mbuyu kwa kijiti. Si alisema halii mbona kalia
 
MMMhHH Mkuu Gembe, serious? au mambo ya week end hayo??
ishu ni kweli.na haina longo longo!kama unabisha waulize watu wa karibu na Sumaye.Hii nimepewa na bosi wangu ambaye alikuwapo huko.
 
Habari zilizonifikia Punde kutoka maeneo ya kibamba anakoishi Waziri Mkuu Mstaafu ndg Fredrick Sumaye.Jana alifanya Sherehe nyumbani kwake na wapambe wake wakisherehekea kuangushwa kwa bwana Lowassa.Akijisifia kwa mbwemwe nyingiu baada ya kupata mvinyo alisema.."walikuwa wananiita Zero ila mmeona wenyewe mie niliweza kuhimili mikiki mizito na kukaa miaka kumi,anaglieni huyu ambaye hata robo ya muda wangu hajanifikia."

kulikuwa nma viongozi wanaandamizi wa serikali ambao ni watumishi wa umma na wabunge na makada waq chama tawala ambao walikuwa kambi ya Sumaye wakati wa Mchakato wa kupata Rais kwa tiketi ya CCM.

watu walikula na kuchoma mbuzi kusherehereka kuanguka kwa mtu aliyewamaliza.Wat goes around comes around.

Hii si taarifa njema kabisa, naamini pamoja na kuanguka kwa bazazi lowasa kuna kitu kitakuja mbeleni ambacho ni hatari zaidi yake. kwa ukweli lowasa hafai na sumaye ndo hafai zaidi, Na hii tabia ya kuweka kambi au kujiunga na kambi za bwana wakubwa fulani ni dalili za kifisadi na si dalili njema kwa nchi yetu.
Amini amin nawaambieni kuwa baada ya kikwete atakuja sumaye kuomba kura tena.

Inanishawishi kuacha sanaa na kuingia ktk siasa ila umaskini wangu utakuwa ndiyo kigezo cha kukosa maana kwa kila mtu mwenye akili timamu ataelewa kuwa usipokuwa tajiri hauna caho ccm, Mfano kutoa milion moja kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa ccm ni haki kweli?? kwa nini pasiwepo namchakato kutokea ngazi za tawi kuteua majina kuelekea uteuzi mkuu? na kuweka vigezo vigumu (uadilifu na uelewa) kwa wagombea uteuzi.

Tatizo kubwa ni upinzani sasa, badala ya kujijenga na kujipanga imara huku wakiimarisha demokrasia ktk vyama vyao wao wanasheherekea kuanguka kwa lowasa. Viongozi ni walewale tangu adam na eva, badilikeni watanzania wenzangu au la mtakuwa wasindikizaji (au ndo kazi waliyotumwa?)

Hapa sina budi kuisifu JF kwa kujitoa mhanga mpaka kuangunga mbuyu ulioota katikati ya njia...

Invisible tupo nyuma yako wewe na moderators wako, tunakuombeeni msichoke kuzikomboa akili na fikra zetu.
 
Hapa sina budi kuisifu JF kwa kujitoa mhanga mpaka kuangunga mbuyu ulioota katikati ya njia...

Invisible tupo nyuma yako wewe na moderators wako, tunakuombeeni msichoke kuzikomboa akili na fikra zetu.
Nina uhakika JK ataisifu Jambo forums wakati akitangaza baraza la Mawaziri.labda aone aibu ila ndio ukweli.Waandishi wote hata Mwanahalisi wanatoa Nws Hapa.

JF ndio kikomo cha ufisadi.
 
Na hii tabia ya kuweka kambi au kujiunga na kambi za bwana wakubwa fulani ni dalili za kifisadi na si dalili njema kwa nchi yetu.

..siasa ndivyo ilivyo lazima kuwe na kambi. sasa,kile kilichomo kwenye kambi ndicho cha kujadili.

..huwezi kuhimili siasa bila kuwa na kambi au kuingia kambini!
 
Habari zilizonifikia Punde kutoka maeneo ya kibamba anakoishi Waziri Mkuu Mstaafu ndg Fredrick Sumaye.Jana alifanya Sherehe nyumbani kwake na wapambe wake wakisherehekea kuangushwa kwa bwana Lowassa.Akijisifia kwa mbwemwe nyingiu baada ya kupata mvinyo alisema.."walikuwa wananiita Zero ila mmeona wenyewe mie niliweza kuhimili mikiki mizito na kukaa miaka kumi,anaglieni huyu ambaye hata robo ya muda wangu hajanifikia."

kulikuwa nma viongozi wanaandamizi wa serikali ambao ni watumishi wa umma na wabunge na makada waq chama tawala ambao walikuwa kambi ya Sumaye wakati wa Mchakato wa kupata Rais kwa tiketi ya CCM.

watu walikula na kuchoma mbuzi kusherehereka kuanguka kwa mtu aliyewamaliza.Wat goes around comes around.

Kama ni kweli basi Sumaye naye hana maan kwani naye ni bazazi mkubwa ambaye kaiba sana na mwizi mwenzake Nkapa wakatuachia umasikini wa kutupwa. Tanzania tutaendelea kuhubiri wimbo wa umasikini hadi mbingu ikishuka. Angalia hata Rwanda wako juu yetu. SHAME SHAME
 
Nina uhakika JK ataisifu Jambo forums wakati akitangaza baraza la Mawaziri.labda aone aibu ila ndio ukweli.Waandishi wote hata Mwanahalisi wanatoa Nws Hapa.

JF ndio kikomo cha ufisadi.

Kama nilimsikia na kumuelewa vizuri Mkuu Mwakyembe, aliisifu JF kinamna kabla ya kumtakia heri kubenea na kumlaani mhuhusika.
 
Mbalamwezi::::HIII NI TAARIFA YA KWELI NA KWA TARRIFA TU
BAADA YA KUTOLEWA ITAKAYOTUMIAKA THE REST MLINZI AKAAMBIWA KWENDA KUGAWA KWA MAJIRANI......MIMI NIKO NA KIAMBA CHANGU KARIMU NA KIJANA....ILA NILIKUWA NACHEKA SANA KWAMBA ISIJE
AKAWA ANAMCHEKA WAKAKUTANA NA LOWASA KULE SEGEREA..AJUI NGUVU YA DOLA IMEKAMATA MONDO WAKE NA SASA HIVI URAFIKI BASI UFISADI BASI,,,,,,,,
 
mkuu semanao,lete ushahidi wa wizi wa sumaye.sio majungu tu,najua sumaye alifaidika na pesa ya posho za safari na ahsante za washkaji zake,hata mkuu pinda alishawahi kumsaidia ndugu yake kuingia foreign..sumaye hakuwahi kushiriki katika dili chafu kama za lowasa,mlipewa maneno ya chuki na kina lowasa,
 
mkuu semanao,lete ushahidi wa wizi wa sumaye.sio majungu tu,najua sumaye alifaidika na pesa ya posho za safari na ahsante za washkaji zake,hata mkuu pinda alishawahi kumsaidia ndugu yake kuingia foreign..sumaye hakuwahi kushiriki katika dili chafu kama za lowasa,mlipewa maneno ya chuki na kina lowasa,

Mkuu Gembe,
Hivi katika dili zote hizi chafu za Mzee Wa Lupaso, Sumaye kakosekana kweli? Ina maana hayupo katika dili hata moja kweli? Nahisi hii ripoti ya madini huenda ikaja na jina lake. Kwamba ule uchafu waliompaka nao wakati wa uchaguzi mwaka 2005 ulikuwa ni chuki binafsi tu?
Yangu macho!
 
mkuu semanao,lete ushahidi wa wizi wa sumaye.sio majungu tu,najua sumaye alifaidika na pesa ya posho za safari na ahsante za washkaji zake,hata mkuu pinda alishawahi kumsaidia ndugu yake kuingia foreign..sumaye hakuwahi kushiriki katika dili chafu kama za lowasa,mlipewa maneno ya chuki na kina lowasa,


Mkuu Gembe, Heshima Mbele...

Kwa vyovyote vile... ukiacha uharamia Lowassa IS FAR BETTER than Sumaye...

By the way unavyopresent hoja yako kama uko kwenye kambi ya Sumaye... hata kama alikuwa ana usafi wa chumba cha kufanya operation ya Moyo... Sumaye alikuwa hana uwezo... Na kwa kweli nilimshangaa baada ya kumaliza term zake mbili kwenda kusomea management,,, nadhani ana-regret kwamba kipindi chote cha uongozi wake haja-practice proper management...

Nikupe analysis kidogo ya Mawaziri wakuu.

1. Nyerere - second to none in terms of quality job.
2. Salim - He was good, could perform better if he could have been head of state
3. Msuya - proper PM, he was strong, man of actions...
4. Warioba - The only PM, who practised PM role as per TZ consitution... (PM followup president directives/instrution to see if they have been implemented. PM role is not to pledge another promises in additional to what president has done... (good example was Malecela)
5. Moringe - Mzalendo halisi, but speed without control...(vita ya uhujumu uchumi) ili- i-cost serikali kwa miaka mingi kwa kulipa fidia
6. Rashid Kawawa - no comments
7. Malecela - practised presidency role while he was just PM
8. Sumaye - stayed long, but performance was extremely poor.
9. Lowassa - speed without control costed him, was not good on good governance...
10. Pinda - will be similar to Warioba... to some extent
 
sumaye famous qoute " ukiona mtu anatumia KALAMU kuingia madarakani,atatumia RISASI kukaa madarakani"

that famous qouete after latelly discovering that lowassa has already fixed him in favour of kikwete for presidency...lowassa ndio alikuwa mkuu wa propaganda na media kwenye kikwete 2005...from 1996...sumaye akashtuka late 2005!!

sumaye ana sababu zote za kushehereka!!

siasa ilivyo hawa wamaweza kuungana chini ya adui mmoja sasa..kikwete!!!
 
sumaye famous qoute " ukiona mtu anatumia KALAMU kuingia madarakani,atatumia RISASI kukaa madarakani"

that famous qouete after latelly discovering that lowassa has already fixed him in favour of kikwete for presidency...lowassa ndio alikuwa mkuu wa propaganda na media kwenye kikwete 2005...from 1996...sumaye akashtuka late 2005!!

sumaye ana sababu zote za kushehereka!!

siasa ilivyo hawa wamaweza kuungana chini ya adui mmoja sasa..kikwete!!!

Na hiyo quote ndiyo itakayoendelea kumtesa Lowassa kwa siku zake zote zilizobaki!
Ndio sababu nikasema kwamba, "Kipimo unachowapimia wenzako na wewe utapimiwa hicho hicho, ila cha kwako kitashindiliwa na kusukwa sukwa" Kalamu ndiyo iliyovumbua madudu yote ya Richmond, hata Mwakyembe alikiri hilo kwa kuvipongeza vyombo vya habari.
 
Kama kweli hii taarifa ni ya kweli basi namshangaa sana Sumaye.
Yeye aliweza kukaa pale madarakani kwa miaka yote ile si kuwa alikuwa safi bali yeye na Mkapa walitumia ubabe kuwanyamazisha wote wale waliokuwa wanahoji vitendo vyao vya udhalimu.Na atambue kuwa hali sasa si kama ya wakati ule hali sasa imebadilika na wananchi wameamua kuwahoji viongozi wao kuhusu wizi na vitendo vyao.Bado yeye na Mkapa wanazo tuhuma nyingi za kujibu mbele ya watanzania.
Na kwa hali ilivyo huu mzimu uliomkumba Lowasa hautaishia hapo.Utaendelea mpaka kwa Mkapa na Sumaye na wale wote
wanaofikiri kuwa bado serikali itawatetea kwa maovu yao wanayoyatenda au waliyoyatenda wakiwa madarakani basi wanajidanganya.
 
issue yake ya kibaigwa ilishakwisha?
Kwa kweli alikuwa ananikera kipindi kile alipokuwa anajenga hiyo nyumba yake! kila siku jioni mida ile ya 'high trafic jam' na yeye ndiyo alikuwa anatoka site!
 
Mkuu Gembe, Heshima Mbele...

Kwa vyovyote vile... ukiacha uharamia Lowassa IS FAR BETTER than Sumaye...

By the way unavyopresent hoja yako kama uko kwenye kambi ya Sumaye... hata kama alikuwa ana usafi wa chumba cha kufanya operation ya Moyo... Sumaye alikuwa hana uwezo... Na kwa kweli nilimshangaa baada ya kumaliza term zake mbili kwenda kusomea management,,, nadhani ana-regret kwamba kipindi chote cha uongozi wake haja-practice proper management...

Nikupe analysis kidogo ya Mawaziri wakuu.

1. Nyerere - second to none in terms of quality job.
2. Salim - He was good, could perform better if he could have been head of state
3. Msuya - proper PM, he was strong, man of actions...
4. Warioba - The only PM, who practised PM role as per TZ consitution... (PM followup president directives/instrution to see if they have been implemented. PM role is not to pledge another promises in additional to what president has done... (good example was Malecela)
5. Moringe - Mzalendo halisi, but speed without control...(vita ya uhujumu uchumi) ili- i-cost serikali kwa miaka mingi kwa kulipa fidia
6. Rashid Kawawa - no comments
7. Malecela - practised presidency role while he was just PM
8. Sumaye - stayed long, but performance was extremely poor.
9. Lowassa - speed without control costed him, was not good on good governance...
10. Pinda - will be similar to Warioba... to some extent

Kasheshe, nimependa analysis yako.
Naomba kuuliza swali moja la kizushi;
Niliwahi kusikia kuwa pamoja na mambo mengine kuwa Mh Sumaye ana uwezo mkubwa wa kufikiria haraka na kupata ufumbuzi / jibu / mwelekeo kunapokuwa na tatizo (hasa katika vikao)?
Je, ni kweli?
 
Kasheshe, nimependa analysis yako.
Naomba kuuliza swali moja la kizushi;
Niliwahi kusikia kuwa pamoja na mambo mengine kuwa Mh Sumaye ana uwezo mkubwa wa kufikiria haraka na kupata ufumbuzi / jibu / mwelekeo kunapokuwa na tatizo (hasa katika vikao)?
Je, ni kweli?

Kwa kweli mimi nafikiri mawazo yako inabidi uya-negate kupata ukweli wa Mh. FTS...

Hata hivyo comments kama hizo zinaweza kuwa zimetoka kwa watu wa tawala za mikoa na serikali za mitaa, kwa kuwa Waziri mkuu ana-deal na hawa kwa urahisi sana..

Huenda ndio maana Mh. Lowassa alikuwa hakubaliani na taarifa/ripoti nyingi za mikoani kwa kuwa zilikuwa za kisiasa zisizokuwa na tangible things/deliverables...

Lakini Mh. Sumaye ndio aliwajenga hao waheshimiwa wa mikoani/wilayani/halmashaurini kusoma ripoti za kisiasa kwenye mambo ya serikali...

Nitakupa mfano... kuna jamaa kule Shinyanga alimwambia waziri mkuu kwa wastani kila siku wanakufa ngombe x (sikumbuki figure)... waziri mkuuu (wakati huo Lowassa) akapiga algebra rahisi sana... akagundua kama hiyo number ni kweli basi ndani ya miezi miwili inatakuwa sawa sawa na ngombe mil. 17,,, ambayo ndiyo idadi ya ng'ombe wote nchini...

Sasa Mh. Lowassa alitambua hilo, lakini sijui kama Mh. FTS angetambua... anyway...

Wote tunawatakia mapumziko mema!!!
 
Kwa Kweli Mpaka Sasa Hivi Nashindwa Kumhukumu Sumaye Maana Najaribu Kutafuta Ushahidi Kwa Kina Lakini Sijapata, Ila Kwa Mkapa Liko Wazi Haswa House South Africa.kuhusu Sumaye Kujenga Nyumba Yake Ya Kulala Sioni Kama Ni Kigezo Cha Kuwa Fisadi, Maana Kujenga Nyumba Kwa Tanzania Ni Kitu Cha Kawaida Hata Mabaamedi Kibao Wanazo Za Kwao Walizojenga Sembuse Waziri Mkuu!!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom