Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Nitakupa mfano... kuna jamaa kule Shinyanga alimwambia waziri mkuu kwa wastani kila siku wanakufa ngombe x (sikumbuki figure)... waziri mkuuu (wakati huo Lowassa) akapiga algebra rahisi sana... akagundua kama hiyo number ni kweli basi ndani ya miezi miwili inatakuwa sawa sawa na ngombe mil. 17,,, ambayo ndiyo idadi ya ng'ombe wote nchini...
Sasa Mh. Lowassa alitambua hilo, lakini sijui kama Mh. FTS angetambua... anyway...
Wote tunawatakia mapumziko mema!!!
Kama haya ni kweli basi mara moja angeweza kugundua kuwa Richmond ni kampuni hewa,vinginevyo nazidi kuamini pasi shaka kuwa Richmond ni yeye na yeye ni Richmond
Kwa hiyo hata kama alikuwa mtendaji vizuri vipi,kwa ufisadi huu uliopelekea kupotea mabilioni ya shilingi na kuua watanzania wengi kimwili,kiroho na kiuchumi tayari amepoteza sifa zozote nyingine nzuri,anachostahili sasa ni lupango tu na muflisi.