Napenda kujua wadau hivi hizi nauli za hapa jijini ni nani hasa msimamizi,
Labda ndio wanasimamia barabara kuu tu siye wa pembezoni mmmhhh.
MFANO
Nauli za Banana kuelekea Mwanagati, Kibeberu, Kinyantira, Kivule nauli ni 400/= badala ya nauli halali ya SUMATRA ambayo ni 300, ukiwapigia simu wanadai wakaguzi wapo Chanika watapitia lakini wapi, kwa ujumla siwaelewi elewi n
NISAIDIENI, TUNAUMIA JAMII,​
Labda ndio wanasimamia barabara kuu tu siye wa pembezoni mmmhhh.
MFANO
Nauli za Banana kuelekea Mwanagati, Kibeberu, Kinyantira, Kivule nauli ni 400/= badala ya nauli halali ya SUMATRA ambayo ni 300, ukiwapigia simu wanadai wakaguzi wapo Chanika watapitia lakini wapi, kwa ujumla siwaelewi elewi n
NISAIDIENI, TUNAUMIA JAMII,​