Mimi nipo kigoma, natarajia kusafi kwenda Dar. Nimeuliza nauli kwa agent wa Adventure bus akanieleza ni Tsh 60,000. Je! Hiibei nilioambiwa ni halali?
Kwa yeyote mwenye ufahamu wa hili.
mimi nipo kigoma, natarajia kusafi kwenda dar. Nimeuliza nauli kwa agent wa adventure bus akanieleza ni tsh 60,000. Je! Hiibei nilioambiwa ni halali?
Kwa yeyote mwenye ufahamu wa hili.nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.