Mchemically
Member
- Aug 10, 2015
- 11
- 6
Kwa hali ilivyo huko Goba nahisi sumtra kazi imewashinda. Hali ya usafiri inahatarisha Afya na Usalama wa Raia
Haswa kwa majira ya Asubuhi na jion, usafiri ni karaha. Hi imesababishwa na mpangilio mbovu wa Route za Magari. Yaani gari zote zinaanzia mbezi zikiwa zimejaa, abiria wa njiani wanalazimika kubanana kupita kiasi hali inayosababisha mkanyagano, na karaha pale abiria anataka kushuka. Gari zenyewe zinakimbia mwendo kasi wakati zimejaa kupita kiasi.
Hivyo naishauri SUMATRA wafanye yafuatayo:-
1). Watembelee na kufanya utafiti kujionea halihalisi
2). Watengeneze route za magari yatakayoanzia goba centre kwenda mjini
(Hii itasaidia wakazi wa Goba kupata ahueni walao kukalia kiti, kila siku wao kusimamisha milingoti tu).
3). Usalama barabarani uimarishwe hasa kwenye kona
4). Gari kubwa ziongwezwe kwa route ndefu ya kawe Mbezi
NB: TUSISUBIRI AJALI ITOKEEE
Mjumbe hauwawi Nimesema mim Mhenga
Haswa kwa majira ya Asubuhi na jion, usafiri ni karaha. Hi imesababishwa na mpangilio mbovu wa Route za Magari. Yaani gari zote zinaanzia mbezi zikiwa zimejaa, abiria wa njiani wanalazimika kubanana kupita kiasi hali inayosababisha mkanyagano, na karaha pale abiria anataka kushuka. Gari zenyewe zinakimbia mwendo kasi wakati zimejaa kupita kiasi.
Hivyo naishauri SUMATRA wafanye yafuatayo:-
1). Watembelee na kufanya utafiti kujionea halihalisi
2). Watengeneze route za magari yatakayoanzia goba centre kwenda mjini
(Hii itasaidia wakazi wa Goba kupata ahueni walao kukalia kiti, kila siku wao kusimamisha milingoti tu).
3). Usalama barabarani uimarishwe hasa kwenye kona
4). Gari kubwa ziongwezwe kwa route ndefu ya kawe Mbezi
NB: TUSISUBIRI AJALI ITOKEEE
Mjumbe hauwawi Nimesema mim Mhenga