Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Msiishie kuangalia kama gari ni zima na ina kibali cha route husika. Mkague na usafi wa mabasi.
Kuna magari unaingia hapo ndani hadi unajisikia kichefuchefu kwa jinsi yalivyo machafu. Halafu fikiria ndo utakaa humo kwa kutwa zima. Come on guyz, tupo uchumi wa kati sasa, lazima tubadilike.
Siku si nyingi niliingia basi moja ya Dodoma-Dar (leo sitalitaja) ilinilazimu kuendelea tu na safari kwa sababu tayari nilikuwa na tiketi mkononi, nilikata tiketi bila kuona hilo basi lenyewe.
Makochi ya basi ni machafu utafikiri umeingia kilabu cha kuuza mataputapu halafu bei zao ni zile zile za kwenye ubao. Hapo unapoenda kuweka kichwa chako huwezi kupatazama mara mbili, pachafu kama nini.
Muwashauri wasiweke makochi ya nguo maana nguo zina kawaida ya kunyakua kila aina ya uchafu kirahisi badala yake watumie canvasi.
Kuna magari unaingia hapo ndani hadi unajisikia kichefuchefu kwa jinsi yalivyo machafu. Halafu fikiria ndo utakaa humo kwa kutwa zima. Come on guyz, tupo uchumi wa kati sasa, lazima tubadilike.
Siku si nyingi niliingia basi moja ya Dodoma-Dar (leo sitalitaja) ilinilazimu kuendelea tu na safari kwa sababu tayari nilikuwa na tiketi mkononi, nilikata tiketi bila kuona hilo basi lenyewe.
Makochi ya basi ni machafu utafikiri umeingia kilabu cha kuuza mataputapu halafu bei zao ni zile zile za kwenye ubao. Hapo unapoenda kuweka kichwa chako huwezi kupatazama mara mbili, pachafu kama nini.
Muwashauri wasiweke makochi ya nguo maana nguo zina kawaida ya kunyakua kila aina ya uchafu kirahisi badala yake watumie canvasi.