SUMATRA hawana majukumu ya kazi kwa wafanyakazi?

Sunshow

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
1,140
391
Kwa ufupi SUMATRA ni mamlaka ndani ya Serikali yenye kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu. Ni mamlaka muhimu sana lakini utendaji wake wa kazi ni wa mashaka matupu.

Kazi ya kusimamia sheria zilizopo inahitaji taaluma na weledi wa hali ya juu. Lakini kwenye utendaji kazi wa SUMATRA suala la taaluma hakuna.

Mfanyakazi wa sumatra awe mpishi, dereva, mlinzi, mtu wa usafi na mtu wa mapokezi ili mradi amevaa kitambulisho shingoni ruksa kusimamisha gari na kukuandikia faini. Hii nchi ya ajabu kweli kweli. Hivi hao wafanyakazi wanapokuwa wanapewa mikataba huwa hawapewi "job description"?
 
Wenye taaluma zenu hapa panawahusu
pia watu wa utumishi wa umma.
 
Kwa ufupi SUMATRA ni mamlaka ndani ya Serikali yenye kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu. Ni mamlaka muhimu sana lakini utendaji wake wa kazi ni wa mashaka matupu.

Kazi ya kusimamia sheria zilizopo inahitaji taaluma na weledi wa hali ya juu. Lakini kwenye utendaji kazi wa SUMATRA suala la taaluma hakuna.

Mfanyakazi wa sumatra awe mpishi, dereva, mlinzi, mtu wa usafi na mtu wa mapokezi ili mradi amevaa kitambulisho shingoni ruksa kusimamisha gari na kukuandikia faini. Hii nchi ya ajabu kweli kweli. Hivi hao wafanyakazi wanapokuwa wanapewa mikataba huwa hawapewi "job ebu tupe ushahidi wa picha yyte ya huyo afisa wa sumatra akisimamisha gari.kama una ushahidi acha kuandika pumba.sehem yoyote anaesimamisha gari au mwenye mamlaka ya kusimamisha gari ni askari tena akiwa na uniform
 
Wewe kama inakuhusu kalifanyie kazi maana ushahidi ninao.
 
SUMATRA hufanya kazi zake kwa kuzingatia uweledi. Miongoni mwa wafanyakazi wa SUMATRA ni wahandisi wa mitambo na ujenzi katika sekta ya reli, wahandisi wa mitambo na wataalamu wa udhibiti, usimamizi, ukaguzi na uendeshaji katika sekta ya usafiri wa Barabara.
Aidha kuna wanasheria, wachumi na mabaharia. Hata siku moja haijatokea baharia au wataalamu katika sekta nyingine inayodhibitiwa na SUMATRA wakafanya kazi za ukaguzi barabarani; kazi za ukaguzi barabarani husimamiwa wakati wote a maofisa walioajiri wa kwa ajili hiyo. Izingatiwe kuwa SUMATRA haina mwajiriwa ambaye ni mpishi, mlinzi wala mfagizi kwa kuwa kazi hizo hufanywa na watoa huduma wa mikataba.
 
SUMATRA hufanya kazi zake kwa kuzingatia uweledi. Miongoni mwa wafanyakazi wa SUMATRA ni wahandisi wa mitambo na ujenzi katika sekta ya reli, wahandisi wa mitambo na wataalamu wa udhibiti, usimamizi, ukaguzi na uendeshaji katika sekta ya usafiri wa Barabara.
Aidha kuna wanasheria, wachumi na mabaharia. Hata siku moja haijatokea baharia au wataalamu katika sekta nyingine inayodhibitiwa na SUMATRA wakafanya kazi za ukaguzi barabarani; kazi za ukaguzi barabarani husimamiwa wakati wote a maofisa walioajiri wa kwa ajili hiyo. Izingatiwe kuwa SUMATRA haina mwajiriwa ambaye ni mpishi, mlinzi wala mfagizi kwa kuwa kazi hizo hufanywa na watoa huduma wa mikataba.
Na dereva je anaruhusiwa kukagua gari na kuandika faini?
 
Sasa si unambishia weww huna mamlaka ya kuniandikia faini yoyote ile wewe kazi yako ni kupika chai tu
 
Sasa si unambishia weww huna mamlaka ya kuniandikia faini yoyote ile wewe kazi yako ni kupika chai tu
Hawa watu wanajifanya miungu watu na hupewi nafasi ya kusikilizwa. Ukianza kuhoji haraka haraka wanatoa stika kwenye gari na gari kufungiwa ndani hadi ilipwe faini. Yaani tunapata nao taabu.
 
Hawa watu wanajifanya miungu watu na hupewi nafasi ya kusikilizwa. Ukianza kuhoji haraka haraka wanatoa stika kwenye gari na gari kufungiwa ndani hadi ilipwe faini. Yaani tunapata nao taabu.
Jibu la awali limejitosheleza kujibu hoja yako. Kwa sasa naona umehamia ktk kutopewa nafasi ya kujieleza baada ya kuona ulichodai awali ni uongo mtupu wenye lengo la kupotosha.
Wataalam wa SUMATRA wanafanya kazi kwa utaratibu. Gari husimamishwa na Askari wa Usalama Barabarani mwenye SARE (Afisa wa SUMATRA hasimamishi gari wala kufanya 'enforcement' yoyote). Ktk ukaguzi kumsikiliza mtoa huduma ni hatua muhimu kabisa na kama kuna kosa lazma ueleweshwe kabla ya kuadhibiwa.
 
Jibu la awali limejitosheleza kujibu hoja yako. Kwa sasa naona umehamia ktk kutopewa nafasi ya kujieleza baada ya kuona ulichodai awali ni uongo mtupu wenye lengo la kupotosha.
Wataalam wa SUMATRA wanafanya kazi kwa utaratibu. Gari husimamishwa na Askari wa Usalama Barabarani mwenye SARE (Afisa wa SUMATRA hasimamishi gari wala kufanya 'enforcement' yoyote). Ktk ukaguzi kumsikiliza mtoa huduma ni hatua muhimu kabisa na kama kuna kosa lazma ueleweshwe kabla ya kuadhibiwa.
Jibu la awali limejitosheleza kujibu hoja yako. Kwa sasa naona umehamia ktk kutopewa nafasi ya kujieleza baada ya kuona ulichodai awali ni uongo mtupu wenye lengo la kupotosha.
Wataalam wa SUMATRA wanafanya kazi kwa utaratibu. Gari husimamishwa na Askari wa Usalama Barabarani mwenye SARE (Afisa wa SUMATRA hasimamishi gari wala kufanya 'enforcement' yoyote). Ktk ukaguzi kumsikiliza mtoa huduma ni hatua muhimu kabisa na kama kuna kosa lazma ueleweshwe kabla ya kuadhibiwa.
Naona unakwepa hoja ya msingi. Reasoning ya mtu ambaye hana ufahamu wa mambo utakubaliana na mimi kuwa ni hasira hasira mfano kukimbilia kutoa stika badala ya hoja iliyoko mezani. Ninayo mifano hai mfano madereva.
 
Kwa ufupi SUMATRA ni mamlaka ndani ya Serikali yenye kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu. Ni mamlaka muhimu sana lakini utendaji wake wa kazi ni wa mashaka matupu.

Kazi ya kusimamia sheria zilizopo inahitaji taaluma na weledi wa hali ya juu. Lakini kwenye utendaji kazi wa SUMATRA suala la taaluma hakuna.

Mfanyakazi wa sumatra awe mpishi, dereva, mlinzi, mtu wa usafi na mtu wa mapokezi ili mradi amevaa kitambulisho shingoni ruksa kusimamisha gari na kukuandikia faini. Hii nchi ya ajabu kweli kweli. Hivi hao wafanyakazi wanapokuwa wanapewa mikataba huwa hawapewi "job description"?
Wapishi wa Sumatra wanapika nini? Kama vya kupika vimeisha si wanapangiwa kazi nyingine ambazo ni hizo kuwakamateni nyie wahalifu
 
Wapishi wa Sumatra wanapika nini? Kama vya kupika vimeisha si wanapangiwa kazi nyingine ambazo ni hizo kuwakamateni nyie wahalifu
Mimi nadhani watu wafanye kazi kulingana na taaluma zao. Ukifanya kazi ya mwenzio kisa huna kazi ya kufanya ni kosa kubwa na huwezi kuifanya kwa ufasaha maana kila kazi na miiko yake.
 
Baada ya kukaguliwa, ulikuwa Na hatia au hukukutwa Na hatia?
Swali zuri, cha muhimu kwenye hili pamoja na kwamba ni vizuri watu kufanya kazi kwa kuzingatia taaluma zao, hii aiondoi ukweli kwamba kama una kosa lisifanyiwe kazi na afisa aliye karibu na kosa lilioko. Kuna makosa yako dhahiri ambayo hayahitaji sana utaalamu au utaalamu wake unaelezeka kirahisi hivyo afisa yoyote wa SUMATRA ana uelewa nao. Kwa mfano gari yako imekatisha route, hivi hapa inahitajika utaalamu ili kosa lako lihadhibiwe?
Mm siko Sumatra ila najua kati ya taasisi ambayo wasafirishaji wameshindwa kupenyesha rushwa ni SUMATRA, baada ya kufanikiwa kwa polisi. Sasa hii imewafanya kuwachukia sana. Na bila shaka mtoa mada naye ni msafirishaji.
 
Baada ya kukaguliwa, ulikuwa Na hatia au hukukutwa Na hatia?
Nilikutwa na hatia au sikukutwa na hatia siyo "burning issue" mjadala. Kwa mawazo yako polisi wa usalama barabarani siyo taaluma?
 
Swali zuri, cha muhimu kwenye hili pamoja na kwamba ni vizuri watu kufanya kazi kwa kuzingatia taaluma zao, hii aiondoi ukweli kwamba kama una kosa lisifanyiwe kazi na afisa aliye karibu na kosa lilioko. Kuna makosa yako dhahiri ambayo hayahitaji sana utaalamu au utaalamu wake unaelezeka kirahisi hivyo afisa yoyote wa SUMATRA ana uelewa nao. Kwa mfano gari yako imekatisha route, hivi hapa inahitajika utaalamu ili kosa lako lihadhibiwe?
Mm siko Sumatra ila najua kati ya taasisi ambayo wasafirishaji wameshindwa kupenyesha rushwa ni SUMATRA, baada ya kufanikiwa kwa polisi. Sasa hii imewafanya kuwachukia sana. Na bila shaka mtoa mada naye ni msafirishaji.
Ndiyo maana tunaky
Swali zuri, cha muhimu kwenye hili pamoja na kwamba ni vizuri watu kufanya kazi kwa kuzingatia taaluma zao, hii aiondoi ukweli kwamba kama una kosa lisifanyiwe kazi na afisa aliye karibu na kosa lilioko. Kuna makosa yako dhahiri ambayo hayahitaji sana utaalamu au utaalamu wake unaelezeka kirahisi hivyo afisa yoyote wa SUMATRA ana uelewa nao. Kwa mfano gari yako imekatisha route, hivi hapa inahitajika utaalamu ili kosa lako lihadhibiwe?
Mm siko Sumatra ila najua kati ya taasisi ambayo wasafirishaji wameshindwa kupenyesha rushwa ni SUMATRA, baada ya kufanikiwa kwa polisi. Sasa hii imewafanya kuwachukia sana. Na bila shaka mtoa mada naye ni msafirishaji.
Ndiyo maana tuna mahakama. Sheria wengi wanaijua lakini kuna chombo kimepewa jukumu la kutafsiri.
Swali zuri, cha muhimu kwenye hili pamoja na kwamba ni vizuri watu kufanya kazi kwa kuzingatia taaluma zao, hii aiondoi ukweli kwamba kama una kosa lisifanyiwe kazi na afisa aliye karibu na kosa lilioko. Kuna makosa yako dhahiri ambayo hayahitaji sana utaalamu au utaalamu wake unaelezeka kirahisi hivyo afisa yoyote wa SUMATRA ana uelewa nao. Kwa mfano gari yako imekatisha route, hivi hapa inahitajika utaalamu ili kosa lako lihadhibiwe?
Mm siko Sumatra ila najua kati ya taasisi ambayo wasafirishaji wameshindwa kupenyesha rushwa ni SUMATRA, baada ya kufanikiwa kwa polisi. Sasa hii imewafanya kuwachukia sana. Na bila shaka mtoa mada naye ni msafirishaji.
 
Wewe kama inakuhusu kalifanyie kazi maana ushahidi ninao.

Nilichokifanya imebidi nimtafute mtu wa sumatra kwanza.kwanza kwa hao madereva unaosemea wameniambia kwny job discription yao wameambiwa other duties imeandikwa wafanye na wanapewa mafunzo nn cha kufanya hasa kwny ukaguzi kama huo uliokutwa na hatia wewe kama msafirishaji na kama mimi.pili amna mpishi wala dereva anaesimamisha gari bali ni askari wa usalama barabarani.hapo kwny hiyo mada ulikuwa unajifurahisha kuwachafua tu.mimi mwenyewe ni msafirishaji na nimeshalimwa faini nyingi tu na amna waliponionea.dereva namnunulia uniform havai anapigwa faini.unataka uchague ni nani wa kukuandikia ndo kosa liwe sawia? Nimeambiwa afisa yoyote wa mamlaka analojukumu la kukuandikia faini. Na hao wapishi unaosemea hawajawahi kuingia barabarani hata siku moja.lete hoja nyingine tujadili.kinachotokea hapa ni baada ya kuona rushwa imeshindwa kupenya kwny hiyo mamlaka baada ya kuweza kupenya kwny jeshi la police ndo kinachokuuma kama walivyosema wachangiaji wengine
 
Kwa ufupi SUMATRA ni mamlaka ndani ya Serikali yenye kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu. Ni mamlaka muhimu sana lakini utendaji wake wa kazi ni wa mashaka matupu.

Kazi ya kusimamia sheria zilizopo inahitaji taaluma na weledi wa hali ya juu. Lakini kwenye utendaji kazi wa SUMATRA suala la taaluma hakuna.

Mfanyakazi wa sumatra awe mpishi, dereva, mlinzi, mtu wa usafi na mtu wa mapokezi ili mradi amevaa kitambulisho shingoni ruksa kusimamisha gari na kukuandikia faini. Hii nchi ya ajabu kweli kweli. Hivi hao wafanyakazi wanapokuwa wanapewa mikataba huwa hawapewi "job description"?

Job description SUMA TRA ni copy ya JD ya TRA fikipolice.
 
Back
Top Bottom