Hahahha mkuu unapokea pole kwani wewe ndiye Sumalee..................?
Asijisifie ye ni wa mjini...
Ye katoka kwao Tanga huko na kaja Dar akawa hajapokelewa mpaka alipopigwa juzi ndo kakaribishwa.
Buy expensive houses and not so expensive cars.
kujenga ni uoga wa maisha!!!nyumba zote za kukodisha hizi mjini ujenge ili iweje!
kujenga ni uoga wa maisha!!!nyumba zote za kukodisha hizi mjini ujenge ili iweje!