johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Kiukweli vijana wetu wamefanya kazi kubwa jiji linapumua sasa.
Nimewakuta Mbezi beach, Makonde, Goigi Afrikana hadi Tegeta kwa ndevu wakichapa kazi.
Itoshe tu kusema Uzalendo wao ni wa kupigiwa mfano.
Nimewakuta Mbezi beach, Makonde, Goigi Afrikana hadi Tegeta kwa ndevu wakichapa kazi.
Itoshe tu kusema Uzalendo wao ni wa kupigiwa mfano.