Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Nina 44 sasa, kabla sijafikia hata 30. nilikuwaga napiga bao 7,8,9 wkt mmoja.

Nilioa mapema Sana, kunako 26. Shemeji yenu aliombaga aondoke...nikapunguza kupiga mashine.

Nikiwa na miaka 34 nilikuwa majuu -ughaibuni, nikawa nakula Malaya wa kizungu,kihindi nk. Nikawa napiga bao 3 mpaka 4. Nilivyogusa miaka 40 nguvu zilipungua Sana. Nikawa mtu wa bao moja kule, bao moja kule...sikuwa na nguvu tena.nilikiwa napiga bao imetokea wkt wakutoa bikra, mashine ikiteleza bao liligusa Dali. Siku moja nilivyopiga bao likamkosakosa mwanamke likanasa dalini kwenye gipsam, baada ya dakika 10 nikatembelewa bahati mbaya manii yakamdondokea mgeni. Niliona fadhaa Sana.

Wakuu. Nilitafuta binti mmoja yeye anapenda kupiga kelele. Hapo bao zikaanza kuongezeka...nikagundua nilikuwa na tatizo la kisaikolojia. Nikawa napenda mwanamke apige kelele za kuumia...asipopiga kelele siwezi kuendelea....

Idea ya kufanya mazoez ndio nanayoendelea nayo mpaka Sasa...nikipiga tizi. Shemeji yenu ataguna Sana siku hiyo..

Lakini pia, mashine yangu ikiwa Kiki-juu ∆ kichwani najitune nisimwage haraka, kila ninapoona nakaribia kumwaga naichomoa, nikiwa napetipeti, nikianza tena napiga mashine vzr ..nikikaribia kumwaga tena nachomoa, hapa naweza sex mpaka asubuhi.. hi ni mbinu yangu mpya..huwa tunapenda tuendelee na tendo..lkn mashine inakuwa imesinyaa....ili isisinyae..usipende kumwagilia humohumo..toa nje

Ninajirani hajaoa, anapoingiza mademu anapiga mashine na mwanamke analia Sana....

Nilianza tabia ya kupenda Sana Hali hiyo. Siku moja katika shighuli zangu nililala gest ndogo ndogo hizi...chumba Cha jirani alikuwa na mwanamke na mwanamke huyo alikuwa akilia usiku mzima...tofauti na milio ya wanawake wengine huyu alikuwa akilalama na jamaa naye analalama...Kama paka. Akisema imeingia imeingia jamaa nalo Lina Lia yooooo yooooo yooooo. Mwanamke akisema aaaaaaaiiiioooo mwanaume anajibu uuuuuuuiiiooooo..mwanamke akiillia uuuuuiiiiiiii. Mwanaume linajibu oooooooooooooiiii

Sijalala tena. Nikaamka nikaenda baa haikufungwa nikaagiza bia. Kurudi kelele Kama mwanzoni. Nikajilaza nikashika mashine yangu.. nikawa namwaga mbegu tu kwa zile sauti.
 
Nina 44 sasa, kabla sijafikia hata 30. nikilikuwaga napiga bao 7,8,9 wkt mmoja.

Nilioa mapema Sana, kunako 26. Shemeji yenu aliombaga aondoke...nikapunguza kupiga mashine.

Nikiwa na miaka 34 nilikuwa majuu -ughaibuni, nikawa nakula Malaya wa kizungu,kihindi nk. Nikawa napiga bao 3 mpaka 4. Nilivyogusa miaka 40 nguvu zilipunguza Sana. Nikawa mtu wa bao moja kule, bao moja kule...sikuwa na nguvu tena.

Wakuu. Nilitafuta binti mmoja yeye anapenda kupiga kelele. Hapo bao zikaanza kuongezeka...nikagundua nilikuwa na tatizo la kisaikolojia. Nikawa napenda mwanamke apige kelele za kuumia...asipopiga kelele siwezi kuendelea....

Idea ya kufanya mazoez ndio nanayoendelea nayo mpaka Sasa...nikipiga tizi. Shemeji yenu ataguna Sana siku hiyo..

Lakini pia, mashine yangu ikiwa Kiki-juu ∆ kichwani najitune nisimwage haraka, kila ninapoona nakaribia kumwaga naichomoa, nikiwa napetipeti, nikianza tena napiga mashine vzr ..nikikaribia kumwaga tena nachomoa, hapa naweza sex mpaka asubuhi.. hi ni mbinu yangu mpya..huwa tunapenda tuendelee na tendo..lkn mashine inakuwa imesinyaa....ili isisinyae..usipende kumwagilia humohumo..toa nje

Ninajirani hajaoa, anapoingiza mademu anapiga mashine na mwanamke analia Sana....

Nilianza tabia ya kupenda Sana Hali hiyo. Siku moja katika shighuli zangu nililala gest ndogo ndogo hizi...chumba Cha jirani alikuwa na mwanamke na mwanamke huyo alikuwa akilia usiku mzima...tofauti na milio ya wanawake wengine huyu alikuwa akilalama na jamaa naye analalama...Kama paka. Akisema imeingia imeingia jamaa nalo Lina Lia yooooo yooooo yooooo. Mwanamke akisema aaaaaaaiiiioooo mwanaume anajibu uuuuuuuiiiooooo..mwanamke akiillia uuuuuiiiiiiii. Mwanaume linajibu oooooooooooooiiii

Sijalala tena. Nikaamka nikaenda baa haikufungwa nikaagiza bia. Kurudi kelele Kama mwanzoni. Nikajilaza nikashika mashine yangu.. nikawa namwaga mbegu tu kwa zile sauti.
HAHAAAAAAAAAAAA
 
mimi ni mvulana miaka 17 ninaombeni msaada wenu kwasababu nilikuwa nafanya masturbation bila kujua madhara take sasa naona kama kuna mabadiliko katika mwili wangu uume umelegeea na mawazo mengi samahanini sana ninaombeni msaada wenu
 
naombeni msaada wenu nimepiga puli kwa mwaka na nusu bilakujua madhara yake na nina miaka 17nasumbulwa na uume wangu hausimami namawazo pia tafadhali naombeni msaada nifanyeje
 
naombeni msaada wenu nimepiga puli kwa mwaka na nusu bilakujua madhara yake na nina miaka 17nasumbulwa na uume wangu hausimami namawazo pia tafadhali naombeni msaada nifanyeje
Mi pia nna tatizo hilo ndugu yangu hata sijui tutapataje tiba
 
Aisee kilichonikuta jana sikuwai kukutana nacho kabisaaa...... kuna demu nimemgonga Goli la kwanza na Kondom nataka kupiga la pili nikivaa Kondom tu mboo inalala nikivua inasimama nikivaa inalala nikivua inasimama nimemaliza pakiti 2 za kondo wapi sasa sijajua tatizo lilikua ni nini....??? Wakuu msaada wenu

Iliwahi nitokea hiyo hali nikaamua kuingia kavu tu matokeo yake nilitia mtu mimba.
 
Wakuu naombeni ushauri!!! Nina miaka 28 na nilianza kuangalia pornography nikiwa form two japo niliangalia mara moja ...kwenye saloon ya rafiki yangu miaka kama kumi iliyopita. Kufika form six...shule flani hivi kila mwanafunz akawa na simu kipindi hicho fb ndo deal .. Basi niliangalia sana porn kwa miaka miwili. Kufika chuo... Nikawa addicted!!!!! Nikaangalia porn saaana kiasi kwamba hata hamu ya ngono ikakata !!!!! Baadae nastuka .... Nikapata mbunye flan hivi....kufika ghetto ....jambo lisilo la kawaida likatokea.... Mwili ulishuka joto hadi baridi ikaanza kunipata nikashindwa hata kudindisha!!!! ...baadae tena nikapata mbunye nyingine...kuenda bao moja ...basi sikurudia tena ..hela ikaliwa bure...na nikapoteza muda bure. Nikatafuta dawa za masai ...dawa flan hivi unakoroga kwenye chai unakunywa...ikabaki kuwa bao moja tu. Na mgongo unauma ...sipati hata raha sipati...nikabadili mmasai ....yaleyale..!!! Nikakata tamaa ya mapenzi na ukumbuke tangu la kwanza hadi form siksi sikuwahi kuwa na demu niliogopa sana UKIMWI nikamezwa na pornography!!!!!!!!!!!! Nakumbuka dem flan tuko form 3 aliwah hata kudiriki kumwambia rafiki yangu nimkubalie ila nilikataaa!! Sasa nimemaliza chuo nina mchumba nataka kuoa ila naona hatari kubwa na aibu inaninyemelea kwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume...najuta ila ....kwa sasa tangu mwezi wa saba porn nimeacha hata kuangalia na sijatest kuona kama nguvu jata angalau za kumridhisha dem kama nnazo.mchumba wangu ananipenda ila sidhani kama anaweza vumilia suala la kuridhishwa kimapenzi tukioana. Nimechoka maisha ya kibachela ila "nguvu za kiume " ndo zinaniweka matatani kutooa kwa wakati na kwa kweli inaniuma sana sana Sana sana kutokuwa na uwezo huo. Naombeni ushauri maoni na nasaha pamoja na tiba jamani...yamenikuta haya ...!!!!!! MUNGU NISAMEHE MADHAMBI YANGU YOTE ..NATUBU KWAKO.AMEEN!!!

Kwanza mkuu inatakiwa uelewe nguvu za kiume zipo akilini.

Nguvu za kiume ni namna unavyoiweka akili yako kabla na hata katika kipindi unafanya mapenzi

Jiamini kabla ya kufanya mapenzi kuwa unaweza mridhisha mwanamke yoyote,kuwa na mandalizi binafsi kabla ya kufanya mapenzi mfano week kabla kula matunda ya kutosha usisahau yenye mafuta kama vile parachichi na kama uwezo upo vizuri hakikisha unakunywa supu hii itaongeza kasi ya uzalishaji wa shahawa,kunywa maji ya kutosha kila siku,Fanya mazoezi yanayoimarisha misuli ya miguu kama kukimbia,kichura,kibatabata na squarts( yani unasimama halafu unachuchumaa).

Pili kuwa na mindset ya kuwa zile pornography sio reality bali zina animations na editing kwa hali ya juu hivyo usitegemee kuperform kama wale wacheza porno mana mostly wanatumia viagara.

Na hii itakusaidia kujiamini na kumumudu mapenzi wako.

Kama hatua ya awali fanya niliyokushauri mkuu.
 
naombeni msaada wenu nimepiga puli kwa mwaka na nusu bilakujua madhara yake na nina miaka 17nasumbulwa na uume wangu hausimami namawazo pia tafadhali naombeni msaada nifanyeje

Hausimami hata kama ukiangalia pornography au hataukiwa na mwanamke chumbani?

Au unamanisha kutosimama asubuhi ukiamka?

Fafanua tuone tatizo
 
Kila mtu amepewa kwa kiasi, inategemea zimezidi kulinganisha na nini mkuu... maana anayeweza mbili anamzidi wa sifuri na moja etc.

Ila kuna hali inayoelezeka ya watu kupenda hilo tendo kupita kiasi... kama ni hivyo basi ni tatizo.
Mkuu Tized, namna gani naweza kucommunicate na wewe ?
 
Chakula bora pia ni kitu muhimu. Hasa hasa protein katika chakula. Kwa hiyo sio mbaya kutumia nutritional supplements kwa sababu vyakula vyetu siku hizi hasa mjini havina virutubisho sahihi. Kuna virutubisho vizuri sana kutokana na mizizi ya mmea wa Maca ambao toka zama za kale unajulikana kusaidia kutuliza msongo wa mawazo, kuupa mwili nguvu na kuwa na msaada mkubwa sana kwa wake kwa waume kwenye masuala ya uzazi na tendo la ndoa. 0713826805 unaweza kuwasiliana kufahamu zaidi kuhusu hivi virutubisho maana ni msaada mkubwa
Nitakucheki Mkuu Mwakabhuta, hofu yangu sina hakika kama bado unaitumia namba hiyo hapo juu !!
 
Back
Top Bottom