Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Duuuu mie nausika kuna day nimekutana na dem wangu uume ukagoma kusimama kabisa mpaka baada ya masaa kama mawili ndo nkapata kabao cha kivivu wiki moja kabla uyouyo nilimpiga bao tano toka siku nipate tatizo ilo nawaza sana nahamu imekata pia wasiwasi mwingi JAMANI NIFANYAJE NIWE POA NAJIHISI SIKO POA
Ondoa stress mkuu.Fanya mazoezi, pumzika, lala masaa angalau nane kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwahi (au kuchelewa) kufika

Nilishaandika kwenye threads nyingine kuwa kuwahi kufika inaweza kuwa na faida zaidi kuliko kuchelewa kufika. Kwa nini? Kwa sababu mwanaume anaweza kuji-control na hivyo kutofika mapema lakini ni vigumu kujilazimisha kufika mapema. Of course, kuwahi au kuchelewa kufika kuna faida na hasara zake kulingana na wahusika, madhumuni ya kungonoka, nk.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa baadhi ya wanaume wanaochukuwa muda mrefu kufika kileleni huwa wanapata shida kumpa mwanamke ujauzito.Tofauti na kuwahi kufika, kuchelewa kufika ni ngumu kutibika kulingana na sababu zilizosababisha tatizo hizo. Kuchelewa kufika kunaweza kusababishwa na vitu mbalimbali kama ilivyo kuwahi kufika. Mojawapo ni stress, anxiety na kutokuwa na sexual confidence pale mwanaume anapokutana na mwanamke. Pia inadaiwa kuwa malezi yanachangia kwa kiasi fulani hasa kama mwanamume alikuwa na makuzi ya "geti kali". Kuna wanaume wengine wana "controlling personalities" siyo tuu kwenye maisha ya kawaida bali pia kwenye kungonoka.

Baadhi ya wanaume wanaochelewa kufika wanaweza kuwa pia na tatizo la kutoonyesha emotions na kujiachia aka "letting it go" wanapokuwa kwenye 6X6. Sababu nyingine ni kuogopa kumpa mwanamke ujauzito, kuwa na hisia kuwa kikokojoleo cha mwanamke ni kichafu, kulelewa katika maisha yanayofuata dini au utamaduni wa aina fulani, ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya, majereha ya ndani kwenye kwenye spinal cordial au kuonyesha dalili za mwanzo kabisa za ushoga.

Kama bado ni kijana unaweza usione kuchelewa kufika kama ni tatizo. In fact, unaweza kuwa maarufu sana kwa wadada wa mujini. Akina dada watafurahia ile mbaya kwa mwanaume kuchukua masaa mawili hadi matatu kufika kileleni huku wao wakiwa tayari wameshafika na kurudi mara sita na nusu! Tatizo linakuja pale mwanaume anapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu na ya kudumu na mwanamke halafu ukute anataka mtoto. Weeeeeeee!!!

Wapo baadhi ya wanawake ambao hawawezi kuhimili kwa muda wote huo maana wote mnaweza kuishia kuchubuka na kuwa frustrated. Mwanamke atajisikia mnyonge, kudharauliwa kisa mwanaume kuchukuwa masaa kufika aendako. Pia wapo baadhi ya wanawake ambao mwanaume akichelewa sana kufika wanakuwa na wasiwasi sana kama kweli anampenda na akiwahi kufika hasa wanapongonoka kwa mara ya kwanza wanaamini kuwa wamemfikisha mwanaume mpaka ameshindwa kuji-control na kufika aendako fasta. Lakini ikiwa too much inaweza kuwa ni tatizo.

Mwanaume anaweza kuachwa na mwanamke kwa kuchelewa sana kufika na kutaka kuwa na mwanaume who can "come". Kuna baadhi ya watu huwa wanahusisha tatizo tatizo la kuchelewa kufika na umri kwenda mbele lakini ikumbukwe kuwa kwa kawaida wahusika huwa wanaanza kutafuta msaada wa kitaalam wakati wakitaka kupata mtoto kwa udi na uvumba.

Ukipima kati ya kufika mapema na kuchelewa sana kufika ni heri kuwahi kufika, kwa sababu tatizo la kuchelewa kufika linaweza kutibika au mwanaume anaweza kutumia njia nyinge ili mwanamke afike kwanza na yeye kumalizia. Wanaume wanaofika mapema wanaweza kutumia ulimi na vidole vyao. Ulimi ni mgumu sana kuliko mfupa na lazima utamfanya mwanamke afike kabla au hata zaidi yako. Wanasema "a tongue is hard than a double-edged sword". Ulimi ndiyo msuli pekee kwenye mwili unaofanya kazi kupita hata moyo na hata vikojoleo vikiunganishwa pamoja.

Bahati mbaya hakuna matibabu au njia mbadala ya mwanaume anayechelewa kufika. Inadaiwa kuwa hakuna dawa ambayo inaweza kumfanya mwanaume anayechelewa kufika mapema. Madhara ya kuchelewa kufika yanaweza kuwa makubwa na painful kuliko hata yale ya kuwahi kufika.

Kuna mdau mmoja alieleza hapa JF tatizo lake la kuchelewa kufika na jinsi lilivyokuwa linamletea shida kila anapokutana na mwanamke. Kwa maelezo yake inaonekana lilikuwa ni tatizo kubwa sana kwake kuliko hata wale wanaoanzisha threads wakilalamika kuwahi kufika.Kwa hiyo, wale wanaodhani kuwa kufika kileleni mpema ni tatizo, pia kuchelewa kufika nako ni tatizo tena ambalo linaweza lisiwe na tiba.
dah mukuu unaobekana haya mambo umeyasomea
 
Mi nafahamu mke alimuacha mme wake kwa sabb ya kuwahi kufika kileleni mapema! Alianza kulalamika akipanda tu anakojoa chwaaa haraka ka jogoooo...ye alipenda kusuguliwa kwa muda mrefuuuuu..style zote
 
Aisee kilichonikuta jana sikuwai kukutana nacho kabisaaa...... kuna demu nimemgonga Goli la kwanza na Kondom nataka kupiga la pili nikivaa Kondom tu mboo inalala nikivua inasimama nikivaa inalala nikivua inasimama nimemaliza pakiti 2 za kondo wapi sasa sijajua tatizo lilikua ni nini....??? Wakuu msaada wenu
 
Kuwahi (au kuchelewa) kufika

Nilishaandika kwenye threads nyingine kuwa kuwahi kufika inaweza kuwa na faida zaidi kuliko kuchelewa kufika. Kwa nini? Kwa sababu mwanaume anaweza kuji-control na hivyo kutofika mapema lakini ni vigumu kujilazimisha kufika mapema. Of course, kuwahi au kuchelewa kufika kuna faida na hasara zake kulingana na wahusika, madhumuni ya kungonoka, nk.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa baadhi ya wanaume wanaochukuwa muda mrefu kufika kileleni huwa wanapata shida kumpa mwanamke ujauzito.Tofauti na kuwahi kufika, kuchelewa kufika ni ngumu kutibika kulingana na sababu zilizosababisha tatizo hizo. Kuchelewa kufika kunaweza kusababishwa na vitu mbalimbali kama ilivyo kuwahi kufika. Mojawapo ni stress, anxiety na kutokuwa na sexual confidence pale mwanaume anapokutana na mwanamke. Pia inadaiwa kuwa malezi yanachangia kwa kiasi fulani hasa kama mwanamume alikuwa na makuzi ya "geti kali". Kuna wanaume wengine wana "controlling personalities" siyo tuu kwenye maisha ya kawaida bali pia kwenye kungonoka.

Baadhi ya wanaume wanaochelewa kufika wanaweza kuwa pia na tatizo la kutoonyesha emotions na kujiachia aka "letting it go" wanapokuwa kwenye 6X6. Sababu nyingine ni kuogopa kumpa mwanamke ujauzito, kuwa na hisia kuwa kikokojoleo cha mwanamke ni kichafu, kulelewa katika maisha yanayofuata dini au utamaduni wa aina fulani, ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya, majereha ya ndani kwenye kwenye spinal cordial au kuonyesha dalili za mwanzo kabisa za ushoga.

Kama bado ni kijana unaweza usione kuchelewa kufika kama ni tatizo. In fact, unaweza kuwa maarufu sana kwa wadada wa mujini. Akina dada watafurahia ile mbaya kwa mwanaume kuchukua masaa mawili hadi matatu kufika kileleni huku wao wakiwa tayari wameshafika na kurudi mara sita na nusu! Tatizo linakuja pale mwanaume anapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu na ya kudumu na mwanamke halafu ukute anataka mtoto. Weeeeeeee!!!

Wapo baadhi ya wanawake ambao hawawezi kuhimili kwa muda wote huo maana wote mnaweza kuishia kuchubuka na kuwa frustrated. Mwanamke atajisikia mnyonge, kudharauliwa kisa mwanaume kuchukuwa masaa kufika aendako. Pia wapo baadhi ya wanawake ambao mwanaume akichelewa sana kufika wanakuwa na wasiwasi sana kama kweli anampenda na akiwahi kufika hasa wanapongonoka kwa mara ya kwanza wanaamini kuwa wamemfikisha mwanaume mpaka ameshindwa kuji-control na kufika aendako fasta. Lakini ikiwa too much inaweza kuwa ni tatizo.

Mwanaume anaweza kuachwa na mwanamke kwa kuchelewa sana kufika na kutaka kuwa na mwanaume who can "come". Kuna baadhi ya watu huwa wanahusisha tatizo tatizo la kuchelewa kufika na umri kwenda mbele lakini ikumbukwe kuwa kwa kawaida wahusika huwa wanaanza kutafuta msaada wa kitaalam wakati wakitaka kupata mtoto kwa udi na uvumba.

Ukipima kati ya kufika mapema na kuchelewa sana kufika ni heri kuwahi kufika, kwa sababu tatizo la kuchelewa kufika linaweza kutibika au mwanaume anaweza kutumia njia nyinge ili mwanamke afike kwanza na yeye kumalizia. Wanaume wanaofika mapema wanaweza kutumia ulimi na vidole vyao. Ulimi ni mgumu sana kuliko mfupa na lazima utamfanya mwanamke afike kabla au hata zaidi yako. Wanasema "a tongue is hard than a double-edged sword". Ulimi ndiyo msuli pekee kwenye mwili unaofanya kazi kupita hata moyo na hata vikojoleo vikiunganishwa pamoja.

Bahati mbaya hakuna matibabu au njia mbadala ya mwanaume anayechelewa kufika. Inadaiwa kuwa hakuna dawa ambayo inaweza kumfanya mwanaume anayechelewa kufika mapema. Madhara ya kuchelewa kufika yanaweza kuwa makubwa na painful kuliko hata yale ya kuwahi kufika.

Kuna mdau mmoja alieleza hapa JF tatizo lake la kuchelewa kufika na jinsi lilivyokuwa linamletea shida kila anapokutana na mwanamke. Kwa maelezo yake inaonekana lilikuwa ni tatizo kubwa sana kwake kuliko hata wale wanaoanzisha threads wakilalamika kuwahi kufika.Kwa hiyo, wale wanaodhani kuwa kufika kileleni mpema ni tatizo, pia kuchelewa kufika nako ni tatizo tena ambalo linaweza lisiwe na tiba.
sasa na wale wanaowahi je
 
Wakuu naombeni ushauri!!! Nina miaka 28 na nilianza kuangalia pornography nikiwa form two japo niliangalia mara moja ...kwenye saloon ya rafiki yangu miaka kama kumi iliyopita. Kufika form six...shule flani hivi kila mwanafunz akawa na simu kipindi hicho fb ndo deal .. Basi niliangalia sana porn kwa miaka miwili. Kufika chuo... Nikawa addicted!!!!! Nikaangalia porn saaana kiasi kwamba hata hamu ya ngono ikakata !!!!! Baadae nastuka .... Nikapata mbunye flan hivi....kufika ghetto ....jambo lisilo la kawaida likatokea.... Mwili ulishuka joto hadi baridi ikaanza kunipata nikashindwa hata kudindisha!!!! ...baadae tena nikapata mbunye nyingine...kuenda bao moja ...basi sikurudia tena ..hela ikaliwa bure...na nikapoteza muda bure. Nikatafuta dawa za masai ...dawa flan hivi unakoroga kwenye chai unakunywa...ikabaki kuwa bao moja tu. Na mgongo unauma ...sipati hata raha sipati...nikabadili mmasai ....yaleyale..!!! Nikakata tamaa ya mapenzi na ukumbuke tangu la kwanza hadi form siksi sikuwahi kuwa na demu niliogopa sana UKIMWI nikamezwa na pornography!!!!!!!!!!!! Nakumbuka dem flan tuko form 3 aliwah hata kudiriki kumwambia rafiki yangu nimkubalie ila nilikataaa!! Sasa nimemaliza chuo nina mchumba nataka kuoa ila naona hatari kubwa na aibu inaninyemelea kwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume...najuta ila ....kwa sasa tangu mwezi wa saba porn nimeacha hata kuangalia na sijatest kuona kama nguvu jata angalau za kumridhisha dem kama nnazo.mchumba wangu ananipenda ila sidhani kama anaweza vumilia suala la kuridhishwa kimapenzi tukioana. Nimechoka maisha ya kibachela ila "nguvu za kiume " ndo zinaniweka matatani kutooa kwa wakati na kwa kweli inaniuma sana sana Sana sana kutokuwa na uwezo huo. Naombeni ushauri maoni na nasaha pamoja na tiba jamani...yamenikuta haya ...!!!!!! MUNGU NISAMEHE MADHAMBI YANGU YOTE ..NATUBU KWAKO.AMEEN!!!
 
Wanaosumbuka kurudia tendo

Kwenye uzi wa Kilometa wa Inawezekanaje kuunganisha baada ya goli la kwanza?, niliandika hivi. Kwa wanawake ni rahisi (depending on your mood, of course) kuliko wanaume kuunganisha goli la pili baada ya goli la kwanza. Wanawake wanaweza kufika mara mbili au zaidi kwa sababu hawaendi kwenye refractory period kama wanaume.

Pia mwanamke anapofika kwa mara ya kwanza bado anaendelea kuwepo kwenye plateau stage kwa dakika kadhaa, kwa maana kuwa bado anakuwa aroused hata baada ya kufika. Ndo maana baada ya kufika tuu bado mwanamke anakuwa na nguvu ya ku-kisss, n.k. wakati a man would just want to be left alone.

Kuna baadhi ya wanawake wanafika kwa kuchezewa matiti tuu au sehemu nyingine za mwili kama shingo. So baada ya kuja mwanaume anaweza kuhamia the other sensitive parts na kuendelea kumwongezea magoli. Pia kama alivyosema LEOMini kwenye uzi husika umri nao una-matter sana. Walioko 20s and early 30s wanaweza kufika mara mbili na zaidi japokuwa wapo hata walio kwenye 40s wanakuwa na multiple-orgasms. Its just a matter of the woman or her man knowing her body.

Kwa sie wanaume wengi wetu tunadhani kuwa ku-orgasm na ku-ejaculate ni kitu kimoja. Hii ni kwa sababu huwa tuna-orgasm and ku-ejaculate kwa wakati mmoja. Sasa hapo sijui Kilometa alikuwa na maana gani kuhusu "kuunganisha mchezo baada ya goli la kwanza". Goli la kwanza kwa maana ya ku-orgasm au ku-ejaculate?

Vitendo vya ku-organism na ku-ejaculate ni vitu viwili tofauti kabisaaaa. Kwa hiyo kuna uwezekano wa mwanaume ku-organism bila ku-ejaculate and vice versa. Utawasikia baadhi ya vijana wanaji-boost humu kuwa wanapiga goli saba, kumbe walichofanya ni ku-ejaculate mara saba, huku wakiwa wame-orgasm labda mara mbili au tatu.

Pia wapo baadhi ya wanawake, kama mwanaume akiamua-ku-orgasm bila ku-ejaculate wanadhani he was faking. Some would even complain when we pull out tunapotaka ku-orgasm bila ku-ejaculate (maana tukiendelea kubakia humo uwezekano wa ku-ejaculate ni mkubwa). Hivyo basi, kitendo cha ku-orgasm bila ku-ejaculate kunamfanya mwanaume kubakia kwenye stage ya excitement na kuweza ku-orgasm tena kwa mara ya pili.

But that may be a tough thing to do na kuishia ku-ejaculate disaini ya aliyosema kaka km kwenye uzi husika. Kufanikiwa inabidi kuwa na PC muscle imara ambayo itasaidia ku-control muda wa ku-ejaculate. Lakini nadhani jambo la muhimu siyo ku-set target, bali kwa pande mbili husika kufurahia hiyo occasion. Kwa wengi quality ina-matter zaidi kuliko quantity. Refer everlenk hapo juu.

Kuhusu kufanya mazoezi itabiki tumtafute Tuko, miss chagga na wengine tujadili in detail suala zima la faida za mazoezi kwenye sita kwa sita. Wengi kama akina Sam Love tunashauri kufanya mazoezi bila kufafanua kisayasi yanasaidia vipi kwenye sita kwa sita?

Kwa mfano, kwa faida ya wengi kuna umuhimu wa kujadili kisayansi uhusiano uliopo kati ya kufanya mazoezi na kuongezeka kwa nitric oxide mwilini, uhusiano wa kula matunda matunda fulani na mbogamboga na kuongezeka kwa nitric oxide mwilini, uhusiano wa nitric oxide mwilini na mishipa ya damu, uhusiano wa nitric oxide na kuongezeka kwa nguvu za kiume na pia na faida nyingine za nitric oxide mwilini.

Siyo tuu mtu ashauriwe ale matikimaji au juice ya mkokomanga bila kuambiwa kisayansi zinasaidiaje mwilini katika kuongeza nguvu za kiume. Na madaktari wetu wengi hawafanyi mazoezi, hawali vyakula vyenye afya so don't expect them kukushauri kwenye hizo anga. Kwa mfano, kuna wataalamu wanadai kuwa mwanaume hatakiwi kula popcorn tuu wakati akitazama sinema. Inadaiwa kuwa popcorn zina faida kwa mwanaume mpaka kitandani ila hakikisha tuu huweki mafuta na chumvi nyingi.

Hii ni kwa sababu Popcorn ni baadhi ya vyakula ambavyo vinaongeza nitric oxide mwilini (kama unajua umuhimu wake kwenye mwili wa mwanaume - just think jinsi viagra na madawa mengine yanavyofanya kazi), ina-maintain testosterone na pia zinasaidia kuongeza madini kama zinc na magnesium. Ila hakikisha popcorn unazokula siyo genetically modified na usile popcorn zilizotengezwa kupitia microwave. Zile za kwenye sinema zinatengenezwaje sijui.

We need a detailed and scientific explanation juu ya faida ya kuwa na nitric oxide mwilini na jinsi ya kuipata. Kuna mdau mmoja alielezea hili kwa Kiswahili na kwa lugha rahisi hapa JF lakini nimetafuta post yake sijaipta. Hopefully, nitaipta.

Wapo wanaosharu kula chakula kama unavyokula dawa. Huli dawa hivi hivi tuu. Lazima kuwe na sababu. Hivyo hivyo kwa vyakula na vinywaji. Kabla ya kula jiulize unakula hicho chakula kwa sababu gani hasa zaidi ya kushibisha tumbo? Je, pamoja na kuwa chakula ni kitamu kinaweza kuwa na madhara yoyote mwilini mwangu? FOOD AS A MEDICINE: A PRACTICAL APPROACH TO HEALTH EATING
Kaka umeongea point sana,kwenye inshu ya mazoez me 1 kati ya ao wanao fanya sana mazoez na mawanzo nilikuawa naamini ivyo kuwa ukifanya sana mazoez kwenye 6×6 unakuwa fit badala yake nikifanya sana mazoez hata hamu ya ilo tendo uwa sina kabsaaa na ata ikitokea siku nimejiskia kufanya ilo tendo bdo nakuwa niko kawaida 2 na ambavyo uwa nakuwa hata kma sikufanya mazoez,alafu kuna hii kitu inaitwa msonobari unaifaham kaka.
 
Kaka umeongea point sana,kwenye inshu ya mazoez me 1 kati ya ao wanao fanya sana mazoez na mawanzo nilikuawa naamini ivyo kuwa ukifanya sana mazoez kwenye 6×6 unakuwa fit badala yake nikifanya sana mazoez hata hamu ya ilo tendo uwa sina kabsaaa na ata ikitokea siku nimejiskia kufanya ilo tendo bdo nakuwa niko kawaida 2 na ambavyo uwa nakuwa hata kma sikufanya mazoez,alafu kuna hii kitu inaitwa msonobari unaifaham kaka.
Kweli mkuu....hata mie nafanya mazoezi nakula vizuri lishe na matunda kila siku lakini round moja asumani lazima azime....sio kama zile enzi za under 35yrs old.....naenda round 3 ndo napumzika...yaani hili linaitaji mjadawa wa kitaifa......hehe.....
 
Salaam sana Wakuu

Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu.

Ndipo kwenye tafakari yangu nikaona NIANZISHE HUU UZI kwa machache tu kwa ufahamu mchache nilio nao, Ili NIWAALIKE wengi WENU kwa msaada zaidi wa mawazo kwa ndugu zetu wanaokutana na mfadhaiko huu. Nikiamini pia wengi wenu mna utaalamu na mnaoweza kuchambua haya makitu kwa ufanisi zaidi mkatatusaidia sana kwenye uzi huu. Yafaa sasa tujikite kwenye ufumbuzi kuliko kuripoti tatizo na kulaumu. Kadiri tunavyoendekeza kuripoti tatizo tunawaathiri hata wale waliokuwa wazima ambao kwa kuwa hakuna kipimo sawia kujua kipi ni kipi, nao wasiwasi unawafanya wanapoteza ujasiri wao na kujiona wana tatizo kumbe wapo imara sana kuliko mkuki.

Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi.

Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.

Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua
unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).

Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.

Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)

Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done

MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50'' kila siku na ''SQUARTS'' . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya

Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi

Karibuni wadau kusaidia utatuzi wa hili jinamizi linalojizolea umaarufu kadiri siku zinavyokwenda kwenye jamii yetu.

Copy kwa msaada zaidi wa mawazo na uzoefu... BAK, watu8, utafiti, Mndengereko, Mr Rocky, Ntuzu, kabanga, OLESAIDIMU, Matola, Mtoto halali na hela, Excel, The Boss, Mtambuzi, sungura1980, Mentor, kiwatengu, Annael, Candid Scope, Kaizer, mwekundu, KakaKiiza, Freeland, Mapi, Sibonike, muuza ubuyu, Eli79, mzabzab, CYBERTEQ, na wengine wote ambao sijaweza kuwataja apa

Tz

Thanks Bro watu8


everlenk, Asante sana kwa coment yako yenye msaada sana. Umeongea kitu cha msingi sana..Thanks; You have nailed it.
Kila asomaye na afahamu!!!!



Brother Mtambuzi anatupa utambuzi wake apa:-

Dr Asprin, Zogwale, EMT, Tuko, Molembe, Jodoki Kalimilo, tpaul, na dada yangu Karucee, King'asti, Jawilat, Chujio KOKUTONA, First Lady, Kaunga, Ablessed, amu, black woman, Khantwe, Preta na wengineo wooote popote mlipo hekima zenu zinahitajita tafadhali

Mkuu BAK nimecheka sana aisee.. ila umeongezea kitu cha msingi sana Mkuu. Thanks


Mkuu Freeland anasema:-


Mkuu 1st AID anachambua kiutalamu khs wale wanaume wanaotumika sana:-


Kumbe kuwahi nako ni dili wakati mwingine!! kuchelewa nayo ni sheeedaaaa!!! Msome Mkuu EMT apa


Tunakushukuru tena Mkuu EMT kwa vitu vya maana sana kaka. Many thanks


Je mtu akifanya mara nyingi sana kuna madhara yeyote? Mkuu 1st AID anajibu


Thanks ICHANA, umetukumbusha vitu mihimu sana pia kuhusu kujikubali, kujali wakati na ahadi, Kuwa na shukrani n.k,



Mkuu Zogwale tunakushukuru kwa mchango wako makini, hakika umeshekheni!!!


Mtaalamu wa tiba asilia Mkuu MziziMkavu anatupa vitu vipya hapa:-

Anazidi kukazia ndugu MziziMkavu


Mkuu mwakabhuta anafafanua zaidi kuhusu vitambi na virutubisho.


Hivi kuchelewa kufika kileleni kwa mwanaume kunaweza kuchangia kutopata mtoto.
Dr EMT anasema (Dr. - PhD ya heshima kutoka kwa Tz)


Je? Kupiga masturbution {punyeto}kunaweza kusababisha kuishiwa nguvu za kiume?
EMT anasema;-



Kwa walioathirika na PUNYETO /MASTERBATION.... Mtaalamu wetu MziziMkavu anatoa hekima zake kwa namna kuacha hilo tatizo.
Shukrani sana Kaka Mkubwa.


Tunakushukuru sana Mkuu giyamo kwa mchango wako, Ukiwa na details na michango zaidi, Tutashukuru kukusikia tena. asante
Wakuu naombeni ushauri!!! Nina miaka 28 na nilianza kuangalia pornography nikiwa form two japo niliangalia mara moja ...kwenye saloon ya rafiki yangu miaka kama kumi iliyopita. Kufika form six...shule flani hivi kila mwanafunz akawa na simu kipindi hicho fb ndo deal .. Basi niliangalia sana porn kwa miaka miwili. Kufika chuo... Nikawa addicted!!!!! Nikaangalia porn saaana kiasi kwamba hata hamu ya ngono ikakata !!!!! Baadae nastuka .... Nikapata mbunye flan hivi....kufika ghetto ....jambo lisilo la kawaida likatokea.... Mwili ulishuka joto hadi baridi ikaanza kunipata nikashindwa hata kudindisha!!!! ...baadae tena nikapata mbunye nyingine...kuenda bao moja ...basi sikurudia tena ..hela ikaliwa bure...na nikapoteza muda bure. Nikatafuta dawa za masai ...dawa flan hivi unakoroga kwenye chai unakunywa...ikabaki kuwa bao moja tu. Na mgongo unauma ...sipati hata raha sipati...nikabadili mmasai ....yaleyale..!!! Nikakata tamaa ya mapenzi na ukumbuke tangu la kwanza hadi form siksi sikuwahi kuwa na demu niliogopa sana UKIMWI nikamezwa na pornography!!!!!!!!!!!! Nakumbuka dem flan tuko form 3 aliwah hata kudiriki kumwambia rafiki yangu nimkubalie ila nilikataaa!! Sasa nimemaliza chuo nina mchumba nataka kuoa ila naona hatari kubwa na aibu inaninyemelea kwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume...najuta ila ....kwa sasa tangu mwezi wa saba porn nimeacha hata kuangalia na sijatest kuona kama nguvu jata angalau za kumridhisha dem kama nnazo.mchumba wangu ananipenda ila sidhani kama anaweza vumilia suala la kuridhishwa kimapenzi tukioana. Nimechoka maisha ya kibachela ila "nguvu za kiume " ndo zinaniweka matatani kutooa kwa wakati na kwa kweli inaniuma sana sana Sana sana kutokuwa na uwezo huo. Naombeni ushauri maoni na nasaha pamoja na tiba jamani...yamenikuta haya ...!!!!!! MUNGU NISAMEHE MADHAMBI YANGU YOTE ..NATUBU KWAKO.AMEEN!!!
Ukiwa kwe 6*6 ukiwa unakaribia kumaliza round one tulia mpaka ile hali iishe afu endelea na ligi na uwe unafanya hivo hivo mpaka utakaposhindwa kuvumilia
 
Uninstall that driver
Aisee kilichonikuta jana sikuwai kukutana nacho kabisaaa...... kuna demu nimemgonga Goli la kwanza na Kondom nataka kupiga la pili nikivaa Kondom tu mboo inalala nikivua inasimama nikivaa inalala nikivua inasimama nimemaliza pakiti 2 za kondo wapi sasa sijajua tatizo lilikua ni nini....??? Wakuu msaada wenu
 

Similar Discussions

96 Reactions
Reply
Back
Top Bottom