MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,744
- 48,385
Asante kwa ushauri mkuu. Hata mimi nilikuwa na tatizo la kudhani mboo yangu ya 5 inches ni fupi na nyembamba hadi nilipogundua jinsi ya kuitumia na jinsi ya kuchagua aina ya wanawake wa kudate nao. Sasa hivi napendelea zaidi kudate na wanawake wenye maumbo madogo ambao ukubwa wa ku.ma zao unalingana na mboo yangu na naenda nao vizuri sijawahi kuwaangusha. Lakini tatizo langu kubwa ni kwenye kuzuia bao lisitoke haraka, hasa bao la kwanza. Bao la kwanza halimalizi dakika mbili na kurudia mara ya pili lazima nikae sio chini ya saa tatu ndipo mashine isimame tena.. Sasa unaposema kwamba kuna wanaume wanaweza kukaa kifuani saa moja, nashangaa sana. Inawezekanaje? Hebu tupe mbinu mkuu.
Hili niliwahi kulijibu na kulitolea maelezo kwa kina tena kwenye huu uzi, pitia link hii hapa chini, binafsi nilikua na hayo matatzo ya kupiga bao moja na bora wewe unakua tayari baada ya masaa, mimi ilikua bao moja tu basi, kuanzia hapo sitaki hayo mambo labda hadi kesho yake, na hata bao lenyewe nikivuta sana labda dakika tano. Lakini baada ya kubadilisha maisha na kuanza kufuatilia mbinu na njia nilizoelekeza kwenye hii link hapa, maisha yangu yalibadilika, kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu nilimtia mwanamke mabao sita, amini usiamini, mabao sita, japo yalikua ndani ya masaa 24, ila nilijishangaa sana.
Leo hii huwa niko tayari kwa mechi kila siku, tulishakubaliana na mke yeye awe ndiye wa kusema lini maana akinisubiri mimi nitataka iwe kila siku, hivyo yeye hunipa aidha mara moja kwa wiki. Halafu nina mchepuko ambaye kila nikimkamata huwa hatuwachani kama sijamtia mabao kati ya nne na tano, japo huwa tunakutana labda mara moja kwa mwezi.
Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika
kula mkuyati mwanawane uone raha ya dunia.
www.jamiiforums.com