Sisi leo wasikilizaji,tunaruhusiwa kuchangia mkuu Tized?
Kuna wanawake wengine wako active hadi raha,hakuachi ushughulike peke yako anakusaidia mwanzo mwisho.
Nalog off
Asante sana Mkuu kwa hekima zako, Umeeleweka vizuri, Ikikupendeza mkuu naomba uzipe maelezo kidogo point zako kwa msaada zaidi kwa wengine wetu. Labda mtu azingatie vyakula gani apunguze/aache vipi, labda unaposema kukosekana ka lugha moja unamaanisha nini na pia unapozungumzia mazingira ya mpambano (unamaanisha labda kuzoeleka kwa mazingira au usafi wake au uzuri wake)
Many thanks
Mkuu suala zima lipo kwenye mental pride kama ulivyoainisha - kujiweka katika hali ya kuona kuwa tendo ni la kawaida. Naunganisha hilo na signature yako ''Happiness doesn't result from what we GET, but from what we GIVE'' Dr. Ben Carson.
Nasema hivyo kwa sababu mara nyingi kwa kwa kutojua mwanaume huwa selfish kwenye tendo lenyewe. Anamaliza yeye bila kujali mwenzake kama kafika au la. Mwanamke asiporidhika anaweza kumtangazia mwanaume kuwa hana uwezo na akijua anakosa confidence. Tayari inaingia kichwani kuwa hawezi na anabaki na hali hiyo. Suluhisho? kumridhisha, kuliko kujiridhisha kwanza!
changia kwa niaba yangu
Yoote yaliyoelezwa ni ya msingi sana lakini kwa kukazia tuu, swala la mazoezi ni muhimu zaidi pengine kuliko yote hapo.
Siku hizi vijana wamekuwa wavivu sana kufanya mazoezi ndio maana mikiki mikiki kadhaa tuu mtu limi nje kama jibwa.
Alafu fasta unakimbilia kumtafuta mzizimkavu akuelekeze dawa za kuongeza nguvu na kunenepesha uume.
Tized, Wanaume wangezingatia haya uliyoyasema hapa hakika wasingekimbilia kununua MKUYATI
Haya ngoja nichangie kidogo,ila mambo mengi karibu yote mkuu Tized na Watu 8 wamemaliza.
Kuna jambo dogo sana lakini wengi wanalipuuzia na linawaathiri wanaume wengi bila kujua nalo ni maneno ya vijiweni,kumekuwa na maneno mengi kwamba mwanaume aliyekamilika lazima aende sijui raundi 3 na kuendelea,mara aliyekamilika lazima awe na inch 6,mara sijui style hii mwanaume akifanya lazima mwanamke akuheshimu.
Sasa basi mwanaume anapokutana na mwanamke kimwili anakuwa na matarajio meng kichwani pake kutokana na yale maneno ya vijiweni alosikia anaposhindwa kutimiliza hayo huanza kujiona yeye hafai au labda ana tatizo,hofu hujengeka moyoni mwake tayar hapo ndo mwanzo wa tatizo,hana ujasiri anapokutana na mpenzi wake unakuta hata mshindo mmoja tu inakuwa tabu sana.
La muhimu kila mmoja ajielewe ana uwezo gani,wote hatujaumbwa kulingana,kama wewe uwezo wako ni kimoja kisha ndo upite muda ndo uendelee kubali hali yako boresha hiyo hali yako na mtu wako naye afurahi,yaweza kuwa single but heavy,kama wewe sijui inch 4 jikubali ulivyo boresha hali yako utaona mambo ni mazuri,jua style unazozimudu usisikie maneno ya mtaani,wote hatulingani kuna anayekimbia mita 100,200,400 na wengine marathon lakini siye wote ni wanariadha,kila mmoja aridhike na uumbaji aliopewa aboreshe mazingira yake atafurahia maisha.
Lingine la mwisho naona hapa mmekazia swala la usafi kwa mwanamke ni kweli kabisa ke anahusika sana,ila hata nyie baadhi yenu me ni wavivu sana kuoga,unakuta mwanaume katoka kwenye shughuli zake za mchana kutwa anafikia kukutana na mwanamke hata haogi moja kwa moja kwenye makamuzi,mwili hujapata hata refreshment hapo game likiwa mbaya anajiona mpungufu kumbe tu hajaruhusu mwili nao upate ahueni.
True! True!
- Mazoezi (afya ya mwili)
- Afya ya akili
VERY IMPORTANT..natamani ungeongelea hayo zaidi!!!
Bora mkuu umetoa elimu sawia kwa hawa wala chips na mazoezi hawafanyi