Sijaona tatizo lolote kubwa la kutisha hapo, ni tatizo la kawaida sana kuchokana sometimes, mwambie mwanadada asithubutu vidumu ni sumu, wanawake hatuwezi hayo mambo atalowea huko maana wanawake tumeumbwa kupenda na sio kutimiza haja za mwili tu, aongeze manjonjo, akunjue sura mumewe kashasema anaogopa hiyo sura yake aliyoikunja jamani. Atabasamu, asamehe, amwambie mume wake I love you so much darling kwa maneno na matendo, aone miujiza ikitendeka ndani ya ndoa yake.
usikatae wanaume na pesa wachana nao kabisa wakifanikiwa aiseee hutawaona kabisa nakwambia ikiisha atarudi kama digidigi jmosi nimekutana na rafiki yangu akawa ananieleza the same thing wanaume na pesa ni hatari sana nakiri hili
HAPO FURAHA HAIWEZI KUWA NA AFYA, STORI KAMA HIZI ZITAOGOPESHA VIJANA KUOA/LEWA! au ndio changamoto ?
sakapal' ebu chepuka ukasome waraka ulioletwa na mwanaJF cerengeti kuhusu NAMNA MWANAMKE anavyoweza kutumia nafasi zake kubadilisha maisha ya ndoa yake. Yamkini waweza kumsaidia nduyo na wewe pia. Inawezekana mleta waraka huo kaguswa na mada yako. Mwambie dada yako atulie nakumuomba Mungu. Mungu atatenda juu yake.
yaani nakushukuru sana, sijaona kitufe cha like, pokea like zangu mia. Aminia sana kbm.
kha ila cpa ngumu jamani sioo kitoto. mhm ila kutomega K sasa huyu jamaa amezidisha huyo mke aende tuu nje bwana akunwe...kwani umeambiwa ndoa mali au watoto...ndoa kukunwa bwana asikudanganye mtu
Mkuu hii mi nilikuwa siifahamu kwani mahesabu na mimi mbalimbalikumbe ndo kirefu chake hiki daah!!
hahahha kumbe wengie weupe kwenye namba hata me sio mzuri kivile, ila imeniuma saaana kuona CPA inamaliza ndoa ya nduguyo
we acha tuu mi namba niliziacha kwenye madaftari tuu, niambie ngwini ndo tutafanya ligi, ila ni kweli kabisa hii CPA inamaliza ndoa ya dada yangu, ninachoogopa zaidi ameshachoka na anataka kutoka najitahidi kumsihi hasa juu ya watoto watapata shida ila ndo amekata tamaa kabisa
Najua ni ngumu sana pindi upendo unapopungua halafu jitihada za kunusuru ndoa zikiwa zinafanywa na upande mmoja. Ushauri, wangu mwombe dada yako asiondoke bali abadili mfumo wake wa maisha mathalani kama anajisikia kutoka kwenda kusafisha ubongo Club, Party, vacation, kutembelea jamaa afanye hivyo. Kama Shemejio ana cheat zile guilt feelings zitamfanya ahisi anaibiwa/revenge flani. Pia wakiwa mbali kwa muda mfupi kila mtu anatumia muda wake inaweza kumfanya Shemejio kujirudi au kupotea jumla. Siku zote huwa ninasema marriage is a complicated chemistry.