Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Suala la Machinga kufanya biashara mjini Kariakoo na sehemu nyinginezo limekua ni tatizo la miaka nenda rudi bila ufumbuzi wowote, imekua kero kwa wapita njia na wafanya biashara wengine,,,,,,,
Binafsi sidhani kama kuwafukuza waende sehemu nyingine ni suluhisho, wataenda kwa muda baada ya muda mfupi wanarudi tena,lazima tupate ufumbuzi wa hili tatizo litokomee for good,
In a way nawaelewa haileti maana kupelekwa sehemu ambazo ni ngumu kufanya biashara,,,,
Machinga wasifukuzwe bali napendekeza waachwe kufanya biashara hapo hapo mjini. Kwa vile Kariakoo ni ndogo kuwa accommodate both Machinga na wafanya biashara wengine, na since wote wana struggle for a space, THEN space itafutwe kwa kwenda juu. Namaanisha mji ubomolewe zijengwe ghorofa za biashara, na hii itatoa nafasi kwa wote. Chini/ underground,ama nyuma , juu,hizi ghorofa ziwe ndio sehemu maalumu ya hawa Machinga kufanya biashara zao, Nafasi kwa wote kufanya biashara,, hata nchi nyingine sio kwamba hakuna wafanya biashara ndogo ndogo ni wanatengewa sehemu zao hapo hapo mjini kwenye kitovu cha biashara,
Kufumua mji might seem costly at first lakini mimi ndio naona ndio suluhisho la kudumu,,,
Mnasemaje?
Becky
Suala la Machinga kufanya biashara mjini Kariakoo na sehemu nyinginezo limekua ni tatizo la miaka nenda rudi bila ufumbuzi wowote, imekua kero kwa wapita njia na wafanya biashara wengine,,,,,,,
Binafsi sidhani kama kuwafukuza waende sehemu nyingine ni suluhisho, wataenda kwa muda baada ya muda mfupi wanarudi tena,lazima tupate ufumbuzi wa hili tatizo litokomee for good,
In a way nawaelewa haileti maana kupelekwa sehemu ambazo ni ngumu kufanya biashara,,,,
Machinga wasifukuzwe bali napendekeza waachwe kufanya biashara hapo hapo mjini. Kwa vile Kariakoo ni ndogo kuwa accommodate both Machinga na wafanya biashara wengine, na since wote wana struggle for a space, THEN space itafutwe kwa kwenda juu. Namaanisha mji ubomolewe zijengwe ghorofa za biashara, na hii itatoa nafasi kwa wote. Chini/ underground,ama nyuma , juu,hizi ghorofa ziwe ndio sehemu maalumu ya hawa Machinga kufanya biashara zao, Nafasi kwa wote kufanya biashara,, hata nchi nyingine sio kwamba hakuna wafanya biashara ndogo ndogo ni wanatengewa sehemu zao hapo hapo mjini kwenye kitovu cha biashara,
Kufumua mji might seem costly at first lakini mimi ndio naona ndio suluhisho la kudumu,,,
Mnasemaje?
Becky