Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Baada ya Serikali kupeleka wrong message kwa wananchi , hapa majuzi nimeona malalamiko makubwa lakini wafanya biashara toka mikoani waliambiwa walete mali zao na zitanunulika .Sijajua kama makubaliano ya wahudhuriaji wa Sullivan yalikuwa hayo na Serikali ama JK na serikali yake walitaka ku boost PR.
Habari ambazo zimenifikia muda huu ni kwamba juzi Mary Nagu alizuiwa na wananchi wamejawa na hasira wanalia na hasara kubwa na yeye akasema hana majibu ila malalamiko yao kama kawaida atayapeleka kwa wakubwa zake.
Wananchi walizidi kuchonga na akazuiwa kabisa kutoka nje hadi FFU walipo itwa na kuja kumwaga mtama kama kawaida yao bila ya kuuliza .
Wananchi wake wakaambiwa kwamba jana JK angalitokea kuja kusema nao lakini wamekaa hadi usiku JK akiwa kesha jikata mikoani na kuwaacha wakipiga miayo bure bila taarifa ya Rais kuingia ndani ya uwanja wa Nanenane ambako wamekusanywa huko .
Pinda pekee alitia timu siku ya pili ya mkutano na kama kawaoda yake aliingia kikulima na si kisiasa so hakusema lolote .
Jana watu walianza kufungasha maana wanalia na hasara na gharama kubwa waliyo ingia baada ya kupewa matumaini ya kuvuna mapesa.
My take ni kwamba Sullivan imeleta hasara na kama faida basi itakuwa kwa akina Rostam and the likes .Sullivan itakuwa imeongeza madhara makubwa badala ya ku heal majeraha .
Walio pata hasara wana wajibu sasa wa kuomba wananchi kuamua kwa kura zao majimboni na kwa rais ili kukomesha usanii na PR boosting .
Habari ambazo zimenifikia muda huu ni kwamba juzi Mary Nagu alizuiwa na wananchi wamejawa na hasira wanalia na hasara kubwa na yeye akasema hana majibu ila malalamiko yao kama kawaida atayapeleka kwa wakubwa zake.
Wananchi walizidi kuchonga na akazuiwa kabisa kutoka nje hadi FFU walipo itwa na kuja kumwaga mtama kama kawaida yao bila ya kuuliza .
Wananchi wake wakaambiwa kwamba jana JK angalitokea kuja kusema nao lakini wamekaa hadi usiku JK akiwa kesha jikata mikoani na kuwaacha wakipiga miayo bure bila taarifa ya Rais kuingia ndani ya uwanja wa Nanenane ambako wamekusanywa huko .
Pinda pekee alitia timu siku ya pili ya mkutano na kama kawaoda yake aliingia kikulima na si kisiasa so hakusema lolote .
Jana watu walianza kufungasha maana wanalia na hasara na gharama kubwa waliyo ingia baada ya kupewa matumaini ya kuvuna mapesa.
My take ni kwamba Sullivan imeleta hasara na kama faida basi itakuwa kwa akina Rostam and the likes .Sullivan itakuwa imeongeza madhara makubwa badala ya ku heal majeraha .
Walio pata hasara wana wajibu sasa wa kuomba wananchi kuamua kwa kura zao majimboni na kwa rais ili kukomesha usanii na PR boosting .