Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Nasikia hakuna kitu kinachoendelea huko bwawani mpaka muda huu. Ni bonge la hujuma kwa Nchi. Na ndiyo maana aliwekwa marope maana anaaminika kwa fitna. Tutakutana nao 2025.Tatizo ni mzimu wa Magu unawatesa, wanajaribu kila namna kumaliza kila kitu kilichokuwa na uhusiano wowote ule na Magu, ndo maana hakuna logic yoyote kwenye maamuzi yao, siajabu sababu hasa ni kutaka kumfurahisha Museveni ambaye alikuwa karibu na Magu sasa wamuweke upande wao.
Hawa watu hawana mapenzi yoyote wala hawajali chochote kuhusu Tanzania isipokuwa wao wenyewe .
Fikiria Bwawa la Nyerere lingetuingizia Megawatt zaidi ya 2000 hii ingepunguza bei ya umeme/ kWh kwa kaisi kikubwa sana na kupunguza gharama ya uzalishaji na mwishowe bei ya bidhaa madukani pamoja na sukari yenyewe au mafuta ya kula lkn hawalitaki na wana- sabotage, kwa nini ?