Sukari si bidhaa ya lazma kwa binadamu, athari zake kiafya ni mbaya, ni kiuchumi tu ndo inasound

Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.

Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.

Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.

Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu

Umesahau Kuandikia namba ya simu hapo chini mkuu, anyway Timing yako nzuri maana kuna Mkuu wa Wilaya flani huko Geita/Mwanza kafariki
 
Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.

Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.

Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.

Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Vipi kuhusu wauza maandazi,mikate,watengeza cake za kuuza,,wakati mwingine jifunze kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilivyokuwa shule ya msingi kulikuwa na lileshairi la sungura; SIZITAKI MBICHI HIZI.
unajua sungura alisema maneno haya baada ya nini?

Sasa hicho ndicho kilichotokea hapa.
 
Ni kweli sukari inaleta uteja kama madawa ya kulevya. Lakini ukizoea bila sukari ni poa tu maisha yanasonga
 
Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.

Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.

Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.

Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Ni kweli kabisa kiafya vitu vya sukari inayotengezwa viwandani havifai kwa afya ya binadamu.

Kwa kutambua hilo wakati huu wa kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19 ushauri ni kutumia juisi ya mchanganyiko wa limau+tangawizi+kitungu saumu, kwa kwenda mbele. Wakati mwingine kunywa mchaichai ikiwa na asali kidogo.

Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 inawezekana ikiwa kila mmoja wetu atawajibika kwa maisha, uhai wake na wa jirani pamoja na wapendwa wake.
 
Back
Top Bottom