Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,343
- 3,800
Kwa hiyo wewe hautakufa?Kwa mawazo haya hakuja ya kuweka lockdown.Naunga mkono sana hii hoja, Sukari ni sumu, mwenyewe nakunywaga maziwa makavu, na nimeshazoea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe hautakufa?Kwa mawazo haya hakuja ya kuweka lockdown.Naunga mkono sana hii hoja, Sukari ni sumu, mwenyewe nakunywaga maziwa makavu, na nimeshazoea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm mnaunganishia hiyo hoja.We Ni mtu wa hovyo kabisa hufai hata ndani ya Chama.Sukari ina madhara makubwa
Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.
Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.
Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.
Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Vipi kuhusu wauza maandazi,mikate,watengeza cake za kuuza,,wakati mwingine jifunze kituNaona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.
Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.
Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.
Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Vipi kuhusu wauza maandazi,mikate,watengeza cake za kuuza,,wakati mwingine jifunze kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa kiafya vitu vya sukari inayotengezwa viwandani havifai kwa afya ya binadamu.Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.
Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.
Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.
Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Inasababisha insuline itumike Sana na kuleta resistance hence diabetes
Insulin resistance: Causes, symptoms, and preventionWEKA chanzo kinachosema sukari nyingi inasababisha insulin resistance
Na usikimbie!
NI WAPI kwenye hiyo link yako wamesema kula sukari nyingi kunasababisha insulin resistance na hivyo kisukari?