Samwel John
New Member
- Aug 5, 2009
- 2
- 0
Heshima zenu wakuu,
Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni kubwa kiasi natafuta fundi mzuri anirekebishie.
Asanteni
Samwel John
Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni kubwa kiasi natafuta fundi mzuri anirekebishie.
Asanteni
Samwel John