SuitsTailoring Service-DAR ES SALAAM

Samwel John

New Member
Aug 5, 2009
2
0
Heshima zenu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni kubwa kiasi natafuta fundi mzuri anirekebishie.

Asanteni

Samwel John
 
Heshima zenu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni kubwa kiasi natafuta fundi mzuri anirekebishie.

Asanteni

Samwel John

Kabla ya kutumiwa hizo yaani ulikuwa hujawahi kushona suti? Si bora ungemwambia mchizi akutumie jeans........! Sorry am joking.......! Kuna jamaa mitaa ya Ilala bungoni pia wana ofisi kariakoo, wana mafundi almost 20 wanapiga kazi usiku na mchana. Suti kibao unazoziona mitaa ya Posta jamaa ndio wanatengeneza, then wanawabambika wakuja kuwa zimetoka Italy, Hong Kong etc.

Nimejaribu kucheki namba ya simu ya jamaa lakini bahati mbaya sina. Lakini ukiwa mjanja nyatia duka lolote zuri la nguo Posta waulize kwa kidizaini wahudumu mafundi wao wanapatikana wapi........basi watakutonya.

I hope this helps
 
Muone Jeetu, ni fundi mzuri sana. Anapatikana kwa namba 0784-483242.
Yuko karibu na kitumbini. Itapendeza kama utashona kittu kipya kabisa kuliko kumpa dili la kurekebisha....

Nimefurahi pia kujifunza kwa kwetunikwetu kuwa kuna mafundi wanawachomekea "wa kuja" wakiwauzia suti za ilala na kudai ni za italy. Hii inaonesha kuwa watanzania tuna uwezo wa kutengeneza vitu vizuri vikauzika lakini mpaka mtu kuamini kuwa product yako ni nzuri, inabidi umdanganye kuwa ni ya nje ya nchi ....
Jameni, tutafika????
 
Last edited:
Muone Jeetu, ni fundi mzuri sana. Anapatikana kwa namba 0784-483242.
Yuko karibu na kitumbini. Itapendeza kama utashona kittu kipya kabisa kuliko kumpa dili la kurekebisha....

Nimefurahi pia kujifunza kwa kwetunikwetu kuwa kuna mafundi wanawachomekea "wa kuja" wakiwauzia suti za ilala na kudai ni za italy. Hii inaonesha kuwa watanzania tuna uwezo wa kutengeneza vitu vizuri vikauzika lakini mpaka mtu kuamini kuwa product yako ni nzuri, inabidi umdanganye kuwa ni ya nje ya nchi ....
Jameni, tutafika????

Hiyo biashara iko sana Bankok, Thailand. Unashonewa suti na kuulizwa lebo unayotaka ili wakuwekee. Kama si mataalamu, huwezi kuona tofauti na zile za kwenye maduka makubwa ya ulaya. Ila mbaya ni pale ukiikuta tayari imeshonwa na kuingizwa dukani. Unaweza kununua suti ya dola 50 kwa dola 300.
 
Muone Jeetu, ni fundi mzuri sana. Anapatikana kwa namba 0784-483242.
Yuko karibu na kitumbini. Itapendeza kama utashona kittu kipya kabisa kuliko kumpa dili la kurekebisha....

Nimefurahi pia kujifunza kwa kwetunikwetu kuwa kuna mafundi wanawachomekea "wa kuja" wakiwauzia suti za ilala na kudai ni za italy. Hii inaonesha kuwa watanzania tuna uwezo wa kutengeneza vitu vizuri vikauzika lakini mpaka mtu kuamini kuwa product yako ni nzuri, inabidi umdanganye kuwa ni ya nje ya nchi ....
Jameni, tutafika????

Bongo noma, usipime mkuu
 
Hiyo biashara iko sana Bankok, Thailand. Unashonewa suti na kuulizwa lebo unayotaka ili wakuwekee. Kama si mataalamu, huwezi kuona tofauti na zile za kwenye maduka makubwa ya ulaya. Ila mbaya ni pale ukiikuta tayari imeshonwa na kuingizwa dukani. Unaweza kununua suti ya dola 50 kwa dola 300.

Hivi jamani, nani anaweza kutusaidia vigezo vya kuhakikisha suti ni suti ya kiukweli-ukweli :confused:
 
Hivi jamani, nani anaweza kutusaidia vigezo vya kuhakikisha suti ni suti ya kiukweli-ukweli :confused:

Ni ngumu sana mkuu...kwa vile quality iko juu...! Manake vifaa wanavyotumia ni vya kisasa kama kawa, pili material ya vitambaa wanavyotumia ni classic, labels ndio usipime manake jamaa wanaagiza huko huko zitokako. Kingine ni kuwa wale wenye maduka ndio wanaagiza vitambaa pamoja na labels na kila kitu. Mafundi wanapewa contract za kushona tu kwa kuzingatia style walizopewa.......!

Kuna Uncle wangu alijitapa sana alipouziwa suti laki tatu pale posta. Nilipokuja kumthibitishia kuwa huo mzigo ni wa Bungoni alichoka.......hata hiyo suti kaisusa...roho inamuuma kila akiiona!
 
Hivi jamani, nani anaweza kutusaidia vigezo vya kuhakikisha suti ni suti ya kiukweli-ukweli :confused:
there is no way you can know,just imagine mpaka gari ya FERRARI,zimekutwa zinatengenezwa fake na you just cant see the difference
 
Hivi jamani, nani anaweza kutusaidia vigezo vya kuhakikisha suti ni suti ya kiukweli-ukweli :confused:

Mkuu ni ngumu sana kwa kweli, mimi nilinunua sutu Kariakoo kwa Tsh 70,000 na brand hiyo hiyo ilikuwa inauzwa posta 250,000! Wajanja siju hizi wanakuonesha sutu za 300,000 posta halafu wanakuambia wape 150,000 wakakutolee kumbe wanaenda chukua Kariakoo kwa 70,000 na kuipeleka pressing dry cleaner na kukuuzia 150,000!
 
nenda R.D Tilors kitumbini (0784483242), they are the best n country, nlishona pia za kwangu hapo
 
Nenda KHARID maeneo ya Mnazi mmoja karibu na bank ya NBC mtaa wa Agrey/Jamhuri kwenye kona pale huyu jamaa namwaminia hata Magufuli iwa anashona pale.
 
Nenda KHARID maeneo ya Mnazi mmoja karibu na bank ya NBC mtaa wa Agrey/Jamhuri kwenye kona pale huyu jamaa namwaminia hata Magufuli iwa anashona pale.

Mkuu Fidel,

Hebu nisaidie kidogo. Magufuli ameingiaje hapa? Una maana ndiye SI unit ya wavaa suti hapa bongo i.e ndiye mwenye suti bomba kuliko wote?
 
Mkuu Fidel,

Hebu nisaidie kidogo. Magufuli ameingiaje hapa? Una maana ndiye SI unit ya wavaa suti hapa bongo i.e ndiye mwenye suti bomba kuliko wote?

Hahahahaha mkuu nasisitiza tu jamaa mtaalamu wa kushona mkuu hata Tiba nae iwa anaenda pale kushonesha au ni vibaya Magufuli kushonesha suti maeneo ya mnazi mkuu?
 
Hahahahaha mkuu nasisitiza tu jamaa mtaalamu wa kushona mkuu hata Tiba nae iwa anaenda pale kushonesha au ni vibaya Magufuli kushonesha suti maeneo ya mnazi mkuu?

Hapana mkuu. Tuko pamoja. Nilitaka kujua kama Magufuli ndiye kinara wa suti kwa Bongo. Si unajua tena mambo ya role model! Otherwise, ni poa tu kushona suti popote labda kama tunaongelea aina nyingine ya suti. Bongo lugha inakua kila siku!!:rolleyes:
 
Hahahahaha mkuu nasisitiza tu jamaa mtaalamu wa kushona mkuu hata Tiba nae iwa anaenda pale kushonesha au ni vibaya Magufuli kushonesha suti maeneo ya mnazi mkuu?

Mkuu Fidel,

Tiba mbona huwa zinamvaa au unamuongelea Tiba mwingine?.

MJ
 
Asante Dr. Berno,
huyo R&D Tailors ndio huyo huyo Jeetu niliyemtaja asubuhi. Suti zake utazipenda nakwambia. Mimi nimeshona pale si chini ya mara tatu, suti koti jamani asikudanganye mtu ....
Viatu vizuri vya kuvalia suti vinapatikana wapi jamani kwa bei nzuri lakini quality nzuri pia??
 
Back
Top Bottom