Ponera
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 556
- 87
Ki ukweli sugu mi ni mmoja kati ya watu waliokuwa nyuma yako kuhusu kuupinga ukandamizaji unaendelea kufanywa na hao jamaa wanaojiita mawingu, sioni sababu ya raisi wa mbeya kushikana nao mikono wakati hali iko vile(ukandamizaji wa hip hop) ki ukweli nashawishika kuamini kuwa sugu ulikuwa na maslahi binafsi, naumia sana na hili lililotokea na naamini kamwe nchi hii haitaendelea kamwe kama wasaliti ni wale kati ya watu tunaowaamini sana, sina mengi but inaumiza sana. aluta continue VINEGA.