Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Hilo Bunge unalozungumzia Spika wake ni Mzee Mgaya
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi
2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.
Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!