Col Miraji
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 546
- 508
Tangu hili sakata lianze we ndo umehoji kitu cha maana bro. Nimekuelewa sana na tulia utakuja kuniambia hizo mambo
Kwani umelazimishwa kula ?Ndio kazi ya majizi chadema siku hizi, kupindisha kauli na kulisha maneno watu
Huyu akiitwa dogo sisi wengine tuitwaje vichanga? acheni utani huyu ni mtu mzima asiyejielewa.Paul Makonda hivi ana matatizo gani kichwani huyu dogo
Punguza jazba wewe bibiNdio kazi ya majizi chadema siku hizi, kupindisha kauli na kulisha maneno watu
Waziri harafu kivuli!!!! Mbona sielewi? Hana lolote zaidi ya kupayuka tu
Kama mimi ninavyopayuka nikiwa juu ya mamako!!Waziri harafu kivuli!!!! Mbona sielewi? Hana lolote zaidi ya kupayuka tu
Mama hapo kwenye red umeuaaaaa!!Makonda anakiherehere naye!
Angenyamaza kimyaa wenye vyeti wamtafute huyo roma
Kuna mpayukaji zaidi ya bashite na babayake?Waziri harafu kivuli!!!! Mbona sielewi? Hana lolote zaidi ya kupayuka tu
acha kutuletea ubashite ww!!! unadhani hatujui kuwa hili dili limepangwa na hawa wasukuma wawili!!!?Jamani eeeh!! kauli ya Mkuu wa mkoa ni sahihi kutolewa katika mazingira yale. Alichokifanya RC ni kutopoteza matumaini ya kupatikana kwa Roma aliyokuwa nayo mke wa Roma na wasanii wengine. Iwapo RC angetoa kauli ya kukatisha taama kama vile hajui atawapata wapi au ngoja nijaribu angekuwa amepoteza matumaini waliyokuwa nayo wasanii na mke wa Roma.
Wewe kama mfanyakazi wa jamii usiwe unatoa majibu ya kukatisha tamaa wateja wako. Wakili hawezi kumwambia mteja kuwa kesi hii ngumu utafungwa kama wapo wa hivyo ni makanjanja. Pia kwa daktari. Polisi kumwambia mteja wake kuwa vitu vilivyoibwa haviwezi kurudi ni kosa kwani unakuwa umeondoa matumain ya mhusika ambayo ndio aliyobakinayo. Hivyo kauli ya RC ilifaa kwa wakati ule.