Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
namshauri mdogo wangu Sugu akuwe sasa aachane na mambo ya starehe na uuni wa kishamba afanye kazi ya jimbo....watu wa mbeya wenyewe wanamfananisha na jiwe kwa kusema"tunachagua jiwe kuliko mtu makini wa ccm" sasa huo ubunge aliobahatisha ahangalie asijeishia katikati kwa kutolewa na nguvu ya umma...jimboni wananchi wanachangamoto nyingi yeye anakimbilia dar kuimba kwa jaydee watu wa mbeya wamekasirika sana...
"uyu mhuni tusisubilie mpaka 2015 ndio tumtoe,tumuondoe sasa mji unazidi kuisha" alisikika kijana mmoja wa mwanjelwa kwa hasira akiwahamasisha wenzake waliokuwa wanamshangilia..
pia aache ulimbukeni wa mavazi sio kila sehemu anakwenda na migwanda yake ambayo sku izi haibanduki mwilini mwake,sehemu ya heshima na burudani kama ile sio kuvaa kama jambazi hakuwaona wenzake kina kavishe walivyotoka simple na smart..
"uyu mhuni tusisubilie mpaka 2015 ndio tumtoe,tumuondoe sasa mji unazidi kuisha" alisikika kijana mmoja wa mwanjelwa kwa hasira akiwahamasisha wenzake waliokuwa wanamshangilia..
pia aache ulimbukeni wa mavazi sio kila sehemu anakwenda na migwanda yake ambayo sku izi haibanduki mwilini mwake,sehemu ya heshima na burudani kama ile sio kuvaa kama jambazi hakuwaona wenzake kina kavishe walivyotoka simple na smart..