We ni mtanzania kweli? matusi unayajua? Hivi unafahamu jinsi ruge anavyonyonya wasanii? Kumbuka John Mjema alijiua kwa sababu ya maisha magumu na alikuwa msanii "Under clouds FM"!Sina muda wa kusikiliza matusi. Bora umeniweka wazi,. Tv nazma mapema.
We ni mtanzania kweli? matusi unayajua? Hivi unafahamu jinsi ruge anavyonyonya wasanii? Kumbuka John Mjema alijiua kwa sababu ya maisha magumu na alikuwa msanii "Under clouds FM"!
We ni mtanzania kweli? matusi unayajua? Hivi unafahamu jinsi ruge anavyonyonya wasanii? Kumbuka John Mjema alijiua kwa sababu ya maisha magumu na alikuwa msanii "Under clouds FM"!
chakucktsha wanaharakat kama afande sele na kalapina wamekubali kuwa watumwa wa vpaji vyao.
Sina muda wa kusikiliza matusi. Bora umeniweka wazi,. Tv nazma mapema.
yule bangi zilim-wehusha. Umbumbu wao unawaponza.
zima T.V, fungulia East Africa radio