Mtu mwoga ni hatari sana anaweza kukuua.Zamani nikiwa mdogo mtaani kwetu ,kulikuwa na jamaa mmoja mbabe wa mtaa anaitwa Hamis Mbiji.Huyu jamaa alikuwa kila akimkuta mtoto anaingiza mikono mfukoni na kuchukua chochote kilichopo kwa nguvu.Kuna siku Mimi nikaona huyu ni ujinga nikawa natembea na Jiwe mfukoni.Nilipokutana na Hamis Mbiji,nilichokifanya ni kumkaba shingo,mkono mwingine nilikuwa nimeshika lile Jiwe nagonga kichwa chake.Hamis Mbiji ,mbabe wa mtaa akawa anapiga yowe.Mpaka watu kuja kuamua Hamis Mbiji akawa anavuja damu sehemu mbalimbali za kichwa.Toka siku hiyo akawa na heshima tele kwangu😂😂😂Huwa nasema kila mara hyu jamaaa ni muoga sana
CCM ya kina Mkapa na JK sio hii.Zamani CCM wangeweza kushinda uchaguzi kwa 80% bila figisu ukiondoa Zanzibar. Sasa hivi wakishinda kwa 50% wanakuwa wamejitahidi sana.Intelligence inawaonyesha kushinda uchaguzi kwa kipindi hiki ni 50/50.Chance ya kushindwa ipo poa!Maneno meengi tunapendwa, kwenye pambano wanaweka mpira kwapani, kiukweli Ni aibu sana....
Jiwe ni mwepesi kama karatasi!CCM wanaona ni heri wapinzani waonekane wameshindwa kwa kutokamilisha masharti kuliko kutangaza uongo kwa sababu nguvu ya umma inaweza kuwaadhibu!
CCM imekufa , imebaki polisi , nayo inaelekea mwisho mwisho
Umasikini wa akili na hela ni balaa !! hivi hiyo katuni umeielewa kweli ?Sugu 2020 arudi BP kulinda au aanze kutunga mistari mapema
Bila polisi ccm haiwezi kuwepo hata kwa nusu saa tuKwa
Kwa hiyo vyombo Vya usalama vikiamua kuwa unbiased manake CCM ni kwishney😂😂😂😂
ni aibu sana kwa chama kikongwe kama ccm kuweka mpira kwapani .Maagizo kutoka Magogoni
Hata Ii AminiDuh
Sikujua kama Jiwe ni mwoga kiasi hicho.Ila yana mwisho.Makaburu walikaza sana lakini baadae walinyanyua mikono.Hali kadhalika itakuwa hivyo kwa CCM!
Kwa hiyo na mbiji wa feri naye siku zinahesabikaMtu mwoga ni hatari sana anaweza kukuua.Zamani nikiwa mdogo mtaani kwetu ,kulikuwa na jamaa mmoja mbabe wa mtaa anaitwa Hamis Mbiji.Huyu jamaa alikuwa kila akimkuta mtoto anaingiza mikono mfukoni na kuchukua chochote kilichopo kwa nguvu.Kuna siku Mimi nikaona huyu ni ujinga nikawa natembea na Jiwe mfukoni.Nilipokutana na Hamis Mbiji,nilichokifanya ni kumkaba shingo,mkono mwingine nilikuwa nimeshika lile Jiwe nagonga kichwa chake.Hamis Mbiji ,mbabe wa mtaa akawa anapiga yowe.Mpaka watu kuja kuamua Hamis Mbiji akawa anavuja damu sehemu mbalimbali za kichwa.Toka siku hiyo akawa na heshima tele kwangu😂😂😂