Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?zitamuharibia nini na kivipi?
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?zitamuharibia nini na kivipi?
Rudisha hata leo,cdm will wax stronger when you go out.Usitishie nyau watu wazima,tembeaaa.Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebookkama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"so please if that is true then msiondoe hii thread.
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
Tena amewastahi sana kibaka hapelekewi samasi.Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?
ni sawa kabisa tena walihitaji zaidi ya hayo wanyonyaji wanaotumia mgongo wa serikaliMkuu, hayo maneno wewe unaona na sawa?
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?
Hapo umenena. Anahitaji ushauri.Mimi kama mzaliwa wa Mbeya mjini sisemi kama kakosea au hajakosea lakini anatumia juhudi na muda mwingi katika mambo ambayo hayana manufaa kwa waliomchagua abadili vipaumbele.
sina nia ya kumtetea yeyote, lakini neno 'tusi' inategemea pia tunalitafsiri vipi, mbona kila siku tunatukwana na hao wanaotutukana ndio tunaowarudisha madarakani, haihitaji akili ya ziada kuona hii nchi imetawaliwa na kila aina ya uchafu na ufisadi, lakini tunapotoa sauti zetu kulalamikia tunajibiwa kwa kejeli na mizaha kuwa leteni ushahidi, je hili sio 'tusi' ?Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?
]Tena amewastahi sana kibaka hapelekewi samasi[/COLOR].
Kwa wakati huo tulikuwa tunamtambua Sugu kama msanii, na siamini kama alishawahi kutoa matusi mazito hivyo! Tulimzoea tu kwa malalamiko yake dhidi ya unyonywaji wa wasanii na kazi zao.Tumeshampa Kofia nyingine! Sasa hivi inabidi abehave kutokana na Maadili ya Mhimili wa serikali-Bunge!Hebu jiulize, anatujengea picha gani wananchi dhidi ya Bunge?hivi kabla hajachaguliwa alikuwa hatoi hayo matusi au?
Kweli mkuu clouds hadi sasa wamekuwa wapole toka jana sijasikia tangazo hata moja la fiesta,Sugu amenifurahisha sana, sugu ni tofauti na PIMBI wote kwenye Bongo flava industry, anajiamini na anajua anachofanya. Kuna waosha vinywa humu huwa wanamponda Sugu kwa kujiona wamesoma na wanajua sana lakini let me tel u guys Sugu anajua afanyacho na he goes places for that. Sielewi tafsiri ya ubunge hapa Jf ni nini, mnamfahamu mbunge wa Makadara, Nai? Angalieni mabunge mengine mjifunze. Ubunge ni zaidi ya kuvaa masuti, kutembelea shangingi, kukalili kamusi ya kiswahili fasaha ama kuwa mnafiki hata pale unapokuwa na dukuduku, ni zaidi ya kuiga wale ma ndito, vijana simameni ktk kile mnachoamini. Sugu ni mfano kati ya wengi hasa mh. Mbowe alinifurahisha alipomchapa kibao msimamizi wa uchaguzi kule Hai. Jana nilisliza clouds toka tano asbh ckusikia mbwembwe za Mbeya nadhani walibanwa kiana. Wasanii stukeni mtakwisha. Cowards die many times before their deaths, the valiant never taste of death but once. - Shakespeare.
Mkuu hayo ni maneno ya kimjinimjini tu....ni sawa na kuambiwa huna akili, huna uelekeo, huna maana nk., hakuna tusi hapo.......ukitaka kuyatafsiri upendavyo wewe utatukana. Maneno hayo hayana uhusiano na kuwepo kwako Chamani, we kama unatoka usitafute visingizio.Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebookkama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"so please if that is true then msiondoe hii thread.